Wana JF, napenda kupata ufanuzi kuwa je waziri mkuu wa Tanzania anatoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni au? Je Dr Slaa akishinda urais na ccm ikawa na wabunge wengi, je itamlazimu ateue waziri mkuu toka ccm ? Ambalo baadaye itamlazimu kuwa na serikali ya mseto kwani waziri mkuu naye anahusika kupanga baraza la mawaziri. Naomba ufafanuzi wa suala hilo.