Waziri Mkuu anapotangaza Pombe

attachment.php


Tunaomba caption ya hii picha

Huyu, nashauri akimaliza muda wake serikalini awe CONSULTANT wa kilimo, atakuwa anaishauri serikali hiyo hiyo alikotoka namna ya kutatua mambo ya kilimo kwanza

I wish we could see more of our ruling elite wakifanya mambo ya kawaida kama huyu PM
 
Duh, watu mnaanalaiz, mpaka tumboni meona mambomambo!!! HAYO MAJANI ANABEBA KIDOGOKIDOGO MPAKA WAPI, NA ANAPELEKA WAPI? LENGO NI NINI? ANGEKUA ANAJIMUVUZISHA NA MBEGU SAWA, MAANA PASHATINDULIWA NA PAWA TILA!!!
PIli. Kwani kuwa mtoto wa mkulima ndo kunazuia kukemea maovu na badala yake unung'unikenung'unike tu, hata kwa yale unayoweza kuchukulia firm actions?????? Kwanza apo ni pozi la picha,
 
One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano

Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe

Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.

Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?

tazama picha hii hapa:

MICHUZI

Kuivaa tshirt ya Tusker shambani poa tu!....(msinirukie wanywaji wa Tusker!) kuliko angeivaa kwenye kadamnasi coz angeipa promo!..
 
Siyo T-shirt tu inayotangaza pombe, hata kofia pia inatangaza pombe!!!!
 
Bado sijaweza kujua so far huyu mheshimiwa amefanikiwa nini tangu awe PM

He comes across as deeply idealistic politician who lives in his own unrealistic world....
 
Sioni tatizo hapo maana makampuni ya bia ndo yanaongoza kwa kulipa kodi.
 
Tatizo ni nini? Uchumi wa nchii hii unategemea wanywaji tena wa BIA. Kila mwaka lazima kodi iongezeke kwenye vinyewa. Sasa hao mnaowataja wao kazi kubwa si kutumia tu, tena zilizotolewa na wanywaji?

Siku tukiacha kunywa, ujue nao wataacha kuvaa hizo T-shirts!
 
Hizi ni siasa tu kapigwa picha eti yuko shamba tuone yeye ni mkulima,acha nisimseme sana ataangua kilio machozi yake yake yako karibu karibu sana yeye pia yuko hapa jf.
 
One minute I admire kuwa yuko shambani kwake na anatonyesha mfano

Next minute naangalia kwa makini kumbe kavaa nguo ya kutangaza Pombe

Makes you wonder hii vita ya madiwani dhidi ya utititri wa unregulated Bars mitaani kwetu itakuwa ngumu sana. Huu si mfano mzuri kwa watoto wetu. Its ok watu wanywe lakini pia PM lazima naye ajue madhara makubwa ambayo pombe inaleta kwenye jamii.

Why not wear T SHIRT ya JWTZ au something promoting Kilimo kwanza?

tazama picha hii hapa:
MICHUZI[

Pinda anajulikana kwa kutokujali anchovaa kuanzia rangi na sasa kilichoandikwa kwenye T-shirt. Kwa hili la mavazi asamehewe.
 
mleta mada mimi cmwelewe hivi akiwa shamba kama sera ni mbovu na hakuna implementation wewe unapata nini?soma vizuri impact ya mada kabla ya kupost wewe...hii mambo mengine kiongozi kushiriki kwenye shamba lake wakati yeye ni kusimamia sera na kutekeleza nynyi watu mnataka kuona hivyo ni mawazo ya mgando hayo.ndiyo maana Bush anakuja kimya kimya...... mnafikiri viongozi hawatakiwi kuingia shamba na mkiwaona mnafurahia tu bila kuchukua hatua za kudai haki zenu na kutimiziwa ahadi, ushamba wenu mali asili zinauzwa mnadanganywa na maadhimisho ya miaka hamsini na mwenge mlima kilimanjaro ambao sioni faida yake kama siyo matumizi mabaya tu ya fedha, mkutano ya kuhamasisha kutoa kodi mahoteli makubwa matumizi ya kodi kwa wachache miaka hamsini mnasema mambo irrelavant kabisa tena nasemamkome kama wewe ni msomi hujaelimika na hutusaidii...pombe ndiyo livelihood za watu vijijni na ndiyo walipa kodi kuliko mashamba ya waheshimiwa wako kwenye kilimo kwanza na kumbuka moja ya product ya kilimo kwanza ni pombe.... ziwe za jadi au kisasa(bia), angekuwa kwenye mashamba ya ngano na kimea unafikiri matumizi yake yangekuwa nini? kama siyo mikate na pombe? madhara ya pombe umesoma kwenye mitandao mbona nje (mataifa makubwa hayaachi? usomi wako wa kipeperusi usituzingue hapa tena ukome na kama hauunyi umejuaje mbaya?
 
Slidingroof............acha unazi bana!!!!
tshirts za Tusker cup!!!

Karibu 50 yrs of independence na kilimanjaro lager.....bardiii!!!
 
wewe unajuaje kama ameingia contract na wao ili awatangazie Tanzania ni zaidi ya uijuavyo mtu yupo kwenye mkataba wake mnamwingilia au mnataka awaibie pesa zenu za serikali
 
Back
Top Bottom