Waziri mkuu anapokwenda holiday na mkewe

Duh jamaa amenikuna sana. Ila namchukia kwa sababu anaongoza nchi ya kibeberu ambayo imekuwa ikishiriki kushambulia nchi zingine kama Libya. Viongozi wetu hawawezi kujifunza chochote kutokana na u simple wake huo labda kizazi hiki chote kife na kije kingine bila kukutana na hiki cha sasa kwa kuwa kizazi hiki kimelogwa. Kizazi hiki hasa hapa TZ kimejawa na ufisadi wa kutupwa, kila mtu ni fisadi kwa KIWANGO chake. Kama mtu ni fisadi hawezi kuishi maisha hayo kwa kuwa atakuwa na maadui weeeengi manake ufisadi ni dhuluma.
 
Zote charade za wanasiasa tu. Ataweza kwenda kazini kwa baiskeli huyo blazameni Cameron?

Tatizo mnaangalia anasafiri vipi badala ya karatasi gani anatia saini.
 
Ngeleja tu hapo PPF house samora kaambiwa na mlinzi panga foleni anajishau haunijui mimi, mlinzi nahisi alishafukuzwa na kazi. Bongo bwana watu wanajikweza mpk basi pumbavu kabisa
 
Huku kwetu hata meneja anasafiri kwa gharama ya serikali.. Umesahau wakati mama mkapa alivyokwenda kwenye harusi ya mtoto wa dada yake... Alitumia klm na ni daraja la kwanza na walikuwa watu kumi na tano walitumia usd$ 150,000 mama mkapa yeye alitaka na kutumia limosine kama transfer yake kutoka airport..

Lazima katiba mpya ifanyiwe kazi haraka sana... Hii nchi inatakiwa ibadilishwe sana..
 
Dont be fooled. We all know exactly what David Cameron is... Anazuga tuu hapo.. For all those weak hearts out there... Ukweli ni kwamba he is just another snob.
 
sasa hivi dar es salaam airport wameweka mpaka njia ambayo ni separate kutokea VIP mpaka Nyerere rd. Ubaguzi na dharau za hali ya juu ....sijui kama Mungu atawabariki!
E bana, kile kimchongo nimekiona recently nikashangaa lakini nikadhani labda ni cha zamani, kumbe ni kinjia kipya? Kinatoka kwenye tarmac ya ndege kinakuja mpaka Nyerere Road upande wa BP gas station? Mpaka njia wanataka wajengewe ya kwao?

Hivi yeyote mwenye diplomatic passport anahesabika ni VIP? Maana kama ndo hivyo mtu akitaka kufanya u-Diria si wamemrahisishia boda?
 
Diplomatic passport ndiyo VIP yenyewe tena hiyo. Mabalozi wa kibongo mbona wanapitisha magendo uwanja wa ndege kwa baraka za serikali. Rejea scandal ya balozi Mahalu kukataa kupitisha hela za wizi kwa ajili ya kampeni ya Kikwete na yaliyompata.

Udiria ndio unaowika, lakini kuna mambo ya money laundering na machafu mengine kibao.

Ndiyo maana wanataka hata barabara ziwe zao peke yao. Wangeweza hata kifo wangetaka kukizuia kwa hela chafu waishi milele.
 
Huyu hafit kuitwa mtoto wa Mkulima kwani he's an old Etonian born into priviledge and multi billionaire from Aristocratic family..kama kawaida ya watawala wa UK lakini.

article-0-0B86F29900000578-783_468x330.jpg


Hapa waziri mkuu yuko departure lounge ya KAWAIDA na sio VIP na mkewe wakisubiri kwenda Spain for holiday. Anatumia pesa zake binafsi, na anatumia budget airline ambayo haina Business wala first class

article-1374690-0B8689D300000578-266_468x745.jpg

Hapa washafika huko Spain na hakuna maduka kufungwa au watu kuzuiwa kufanya kazi zao eti kwa sababu kiongozi wa nchi jirani kaja bas mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa,sijui mpage gani shughuli zote zinasimama

article-0-0B86876400000578-298_468x780.jpg


Badala ya kuwa na wapambe wa kumtolea pesa...jamaa anatumia cadi yake kutoa pesa kama watu wengine na ifact inasemekana ALIFUNGA foleni

If only WATAWALA wetu wangekuwa kama huyu. Kama kuna mtu anayo picha ya MTAWALA wetu hata mmoja ambaye anafanya mambo ya kawaida kama sie watu wakawaida ailete hapa. Saa zingine utaambiwa eti ohhh sababu za kiusalama. Hivi kwenye ukishakuwa MAN OF THE PEOPLE unataka ulizni wa nini?


Multi-billionaire!?Yeah right!!!!The way his policies favour the rich....!!Don't believe the Press so much!A lot of things are cooked up for the sake of tuning your mind!His policies are not consistent!Libya invasion,for instance;he was mean't to cut his defence budget but now he is saying he is reconsidering NOT to make any cuts.Now you know the war in Libya is typical an interest-motivated one.For some reasons,now the rebels are selling oil and the oil is free from EU and UN sanctions,and we say the world is fair??There is no fairness!To me hawa wote ni wezi tu.Huyu PM kamchagua Sir Philip Green kama mshauri wake wakati Sir Philip na kampuni yake wanakwepa kodi sana tu na mzigo wote unatupiwa mwananchi wa kawaida.Kodi lukuki!Unafanya kazi - the more hours you work,the more tax you pay!Na NI contrubution imepanda - eti mtoto wa mkulima,wapiiii!
 
Wakuu.

Mmeshasahau wakuu wetu unapofika uchaguzi huwa na style kama hiyo?
Hiyo ni kujaribu kujenga taswira ya kuwa ni watu wa kawaida na wako karibu na watu.

Kama hizi picha ni za karibuni basi ni katika kurudisha imani kwa wananchi..waingereza wengi hawakupenda hatua ya UK kwenda vita ya Libya, bado wana uchungu na Tony Blair kwa kuwadanganya.

General election 2010: David Cameron under-fire over helmet-free cycle to work | Mail Online

BBC NEWS | UK | UK Politics | Hypocrisy claim over Cameron bike

Lakini msisahau ulinzi anaouhitaji anapokuwa exposed kwa general public kama hivyo.

Mmesahau, Lipumba aliposema atatumia usafiri wa reli kama angeshinda urais na alipohojiwa umahiri wa kauli yake. Ingepasa kutumia askari wengi kulinda usalama wake, wale wanaovaa kiraia na wale wanavaa uniform pia.
Na kwa hiyo, gharama zingekuwa kubwa.
ni photo op... tu!
Wote ni majangili tu, ni katika kuuhadaa na kuundanganya umma.
 
Maisha ya ulaya yanafundisha mengi, kwa yeyote aliyeishi ughaibuni anajua jinsi ya kujitegemea. lakini bongo mtu karani tu basi ana wapambe kila kona wakumfagilia, hii ndio hulka ya wabongo kupenda kujivuna bila sababu.
 
Wewe unataka kulinganishi nchi iliyo na uongozi kwa miaka 300+ na ka nchi kalichozaliwa jana tu. Tz bado hawajui maana ya uongozi...
 
Dont be fooled. We all know exactly what David Cameron is... Anazuga tuu hapo.. For all those weak hearts out there... Ukweli ni kwamba he is just another snob.

waeleze mkuu. I bet mdau katoa hizo picha kwenye gazeti la The Sun. Mbona Abromovich anavaa vile na ni billionaire? Tatizo wabongo hatutaki kuumiza kichwa. Waziri wetu mkuu kweli mtoto wa mkulima. system ndio mbaya. Waziri mkuu wa uingereza ni billionare. Na mke wake ndio usiseme.
 
Hivi Spain ilivyo na wale Magaidi ,achilia mbalia tuu hao Alqaida walivyo jaa kila kaona, huyu ni ukweli ana hang huko kwa streets bila ulinzi tuu?
 
Hii ni kasumba tuliorithi kwa wakoloni. Viongozi wetu, wamerithi tabia za colonial masters kujiona superior kuliko watu wote ndio maana wanaforce unnessessarily attention.

Na hii iko kwenye level zote. Kwenye shirika letu, mabosi hutembelea mashangingi, they dont care kama mnakosa gari la kuendea field! Na though kwenye andiko la miradi hakuna budget say ya gari la CD or Director wa mradi. On other hand; nilivyovisit ofisi za Marekani, sikuona gari la President wa hili shirika (ambao ndio wanaotufadhili), wala nini; wote hutumia magari yao binafsi!
 
"Tembea ujionee usingoje kuambiwa, duniani kuna mengi na yote yanakusubiri...huwezi kufanisha Morogoro na Darisalama...tembea ujionee..."

RIP Dkt Remmy

Serikali ya uingereza ndiyo ipo responsible na ulinzi wa kiongozi huyo na wala hawezi kuamuru ni namna gani alindwe...kwa kifupi, kama ungeweza kuona radius yake ndiyo mngenyamaza...ni gharama kubwa kucover ulinzi kama anavyoonekana hapo.
 
Back
Top Bottom