VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Alipoapishwa na kusogezewa kipaza sauti, Waziri wa Fedha Dr. Mgimwa alijinasibu kulinda thamani ya shilingi ya Tanzania na kudhibiti mfumuko wa bei. Yapata mwezi tangu kuapishwa kwake. Wakati wa kuapishwa,thamani ya dola ilikuwa ni shilingi za ki-Tanzania 1490.
Sasa(leo) Exchange rate ni hii:
Sasa(leo) Exchange rate ni hii:
- 1 USD = 1585.50 TZS
- 1 EUR = 1979.4413 TZS
- 1 GBP = 2445.0232 TZS
- 1 ZAR = 189.2569 TZS