Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Mheshimiwa Waziri,
Its obvious kuwa wewe ni msomi na ndio kioo chetu huko nje lakini inaonekana kuwa kijana wako bwana Assah Mwambene isnt doing his job properly ba bila kusahau wahusika wengine kwenye departments za Middle East na North Africa
Haiwezekani kuwa sasa ni mwezi wa pili unaingia lakini hakuna updates zozote on the developments in the Middle East na wala hakuna chohcote kinachoelezwa wa Tanzania walioko katika hizi nchi wafanye.
WEBSITE YENU HII
Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation - Tanzania
inasema hivi:
Principles:
- Safeguard the sovereignty, territorial integrity and political independence of The United Republic of Tanzania.
- Defense of freedom, justice, human rights, equality and democracy.
- Promotion of good neighbourliness
- Promotion of African Unity
- Promotion of deeper economic cooperation with or without development partners.
- Support for the practice of the policy of non-alignment and south- south Cooperation and
- Support for the United Nations in its search for international economic development, peace and security.
Website yenu imekuwa kama University thesis ambayo mtu kacopy and paste (typical Assah) iko confusing na kuna so many irrelevant info ambazo mngeweza kuziweka kama PDF attachments
Halafu mbona hakuna section inayozungumzia huduma kwa waTanzania waliopo nje wala policy statements on issues such as Dual nationality na mengineyo
lakini more interestingly website haijawa updated since January ! Does this mean kuwa tumu yako Mheshimiwa waziri hai care au bas tuu ?
Kutokana na website you, its clear your Ministry only serves mabalozi wa nchi za kigeni walipo ndani ya Tanzania na of course mabalozi wa Tanzania walipo nje. In otherwords MoFa DOES NOT provide services to Tanzanian nationals abroad!
Furthermore, according to your website your Ministry DOES NOT offer support to travellers in emergencies na so far hatujui kuna waTanzania wangapi washakufa au kupotea huko Libya!
Simple advise to you mheshimiwa kama unasoma haya:
Go the IKULU ROUTE:
SHUT DOWN THE WEBSITE, kisha Asa Mwambene afungue blogspot kutupdate mapicha na long speeches za maofisa wako kama anavyofanya SALVA kule Magogoni.
I often fail to understand kwa nini serikali ya nchi hii inaogopa sana mambo ya websites za kutuhabarisha sie ambao wanatutawala!
I can wholeheartedly conclude that so far the top echelon of our Government has failed us in their responsibilities to protect Tanzanian citizens HOME and ABROAD. Either take the resposibility or sack ASSAH MWAMBENE, ZUHURA BUNDALA,CHRISTOPHER MVULA AND THE OTHER LOT hapo wizarani kwako- you both seem as useless as each other so maybe both - after sacking that idiot ASSAH who seems to think his holiday is more important then the lives of the people he vowed to serve.
Its obvious kuwa wewe ni msomi na ndio kioo chetu huko nje lakini inaonekana kuwa kijana wako bwana Assah Mwambene isnt doing his job properly ba bila kusahau wahusika wengine kwenye departments za Middle East na North Africa
Haiwezekani kuwa sasa ni mwezi wa pili unaingia lakini hakuna updates zozote on the developments in the Middle East na wala hakuna chohcote kinachoelezwa wa Tanzania walioko katika hizi nchi wafanye.
WEBSITE YENU HII
Ministry of Foreign Affairs and International Co-operation - Tanzania
inasema hivi:
Principles:
- Safeguard the sovereignty, territorial integrity and political independence of The United Republic of Tanzania.
- Defense of freedom, justice, human rights, equality and democracy.
- Promotion of good neighbourliness
- Promotion of African Unity
- Promotion of deeper economic cooperation with or without development partners.
- Support for the practice of the policy of non-alignment and south- south Cooperation and
- Support for the United Nations in its search for international economic development, peace and security.
Website yenu imekuwa kama University thesis ambayo mtu kacopy and paste (typical Assah) iko confusing na kuna so many irrelevant info ambazo mngeweza kuziweka kama PDF attachments
Halafu mbona hakuna section inayozungumzia huduma kwa waTanzania waliopo nje wala policy statements on issues such as Dual nationality na mengineyo
lakini more interestingly website haijawa updated since January ! Does this mean kuwa tumu yako Mheshimiwa waziri hai care au bas tuu ?
Kutokana na website you, its clear your Ministry only serves mabalozi wa nchi za kigeni walipo ndani ya Tanzania na of course mabalozi wa Tanzania walipo nje. In otherwords MoFa DOES NOT provide services to Tanzanian nationals abroad!
Furthermore, according to your website your Ministry DOES NOT offer support to travellers in emergencies na so far hatujui kuna waTanzania wangapi washakufa au kupotea huko Libya!
Simple advise to you mheshimiwa kama unasoma haya:
Go the IKULU ROUTE:
SHUT DOWN THE WEBSITE, kisha Asa Mwambene afungue blogspot kutupdate mapicha na long speeches za maofisa wako kama anavyofanya SALVA kule Magogoni.
I often fail to understand kwa nini serikali ya nchi hii inaogopa sana mambo ya websites za kutuhabarisha sie ambao wanatutawala!
I can wholeheartedly conclude that so far the top echelon of our Government has failed us in their responsibilities to protect Tanzanian citizens HOME and ABROAD. Either take the resposibility or sack ASSAH MWAMBENE, ZUHURA BUNDALA,CHRISTOPHER MVULA AND THE OTHER LOT hapo wizarani kwako- you both seem as useless as each other so maybe both - after sacking that idiot ASSAH who seems to think his holiday is more important then the lives of the people he vowed to serve.