Hatuna sababu ya kumshambulia Benard Membe, hakuna mtu anayekuwa mtenda dhambi wa milele, isipokuwa shetwani! Ameongea maneno yenye upako wa Mungu, tuyaheshimu na kuyafanyia kazi kwa tahadhali ya hali ya juu. Ubarikiwe Membe.
Hatuna sababu ya kumshambulia Benard Membe, hakuna mtu anayekuwa mtenda dhambi wa milele, isipokuwa shetwani! Ameongea maneno yenye upako wa Mungu, tuyaheshimu na kuyafanyia kazi kwa tahadhali ya hali ya juu. Ubarikiwe Membe.
CCM woooooote wanalitambua hilo wala halihitaji phd kulielewa.
Bila kung'ata maneno hii habari ni uwongo uliotungwa na gazeti la akina Lowasa ili kumchonganisha Membe na chama chake cha MAGAMBA. Nasema hii habari ni ya UWONGO....
Bila kung'ata maneno hii habari ni uwongo uliotungwa na gazeti la akina Lowasa ili kumchonganisha Membe na chama chake cha MAGAMBA. Nasema hii habari ni ya UWONGO....
Bila kung'ata maneno hii habari ni uwongo uliotungwa na gazeti la akina Lowasa ili kumchonganisha Membe na chama chake cha MAGAMBA. Nasema hii habari ni ya UWONGO....
Mnafiki, mzabizabina, nyoka wa mdimu......!