Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Kuna taarifa kwamba mawaziri watatu wa JK wakiwamo wawili vijana wanakalia kuti kavu kutokana na maamuzi na utendaji wao kuyumba na JK ameshauriwa kuwawahi kabla hawajamuabisha kama ilivyotokea kwa akina Chenge.
Kwa sasa bado ni tetesi itakapokuwa na nyama iliyoiva walau kidogo tutawapakulia mujichane na kama kawaida JF itakuwa ya kwanza
Kwa sasa bado ni tetesi itakapokuwa na nyama iliyoiva walau kidogo tutawapakulia mujichane na kama kawaida JF itakuwa ya kwanza
Last edited by a moderator: