Bagram Army
Member
- Apr 16, 2012
- 48
- 7
Tusiangalie tu ktk ufujaji wa fedha, jeshi la polisi limekuwa likiongoza ktk kuvunja haki za raia ikiwemo HAKI YA KUISHI na KUKUSANYIKA.
Kwanini Nahodha asijiuzulu pia? Jk hufuata upepo kama wananchi hawamtaji huyu nae ataacha apite hivyo hivyo...
Kwanini Nahodha asijiuzulu pia? Jk hufuata upepo kama wananchi hawamtaji huyu nae ataacha apite hivyo hivyo...