Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Kutokana nali ya amani kuendelea kuwa tete arumeru mashariki ninamwomba waziri mwenye dhamana ya maliasili na utalii ajiuzulu mara moja kupisha uchunguzi huru,inakuwaje anaacha mali asili inaharibu amani kwa kuendeleza mabishano na yeye anakuwa kimya tu .kama ameshindwa kulinda maliasili zetu aachie ngazi nawasilisha..wsr.