Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
barabara ya kilwa haikubadilika. jamaa huwa anapiga mikwara kujitengenezea mazingira ya kupewa rushwa nyingi.
Mkuu jipe muda wa kuifuatilia ile barabara imetokea wapi?Je Tz tulilipa sh ngapi kwenye barabara ile?
Hivi hata kama ni msaada kwa akili yako uliona ni sahihi yeye kama waziri mwenye dhamana kuipokea hata kama ni mahandaki?na angekubali kuipokea wewe leo si ungekuja kumnanga hapa? Na kwa taarifa yako Septemba 12 mwaka 2012 Kamanda Magufuli alitembelea sehemu ya ujenzi mpya wa barabara hiyo acha kulipuka Hata kama humpendi imekula kwako huo ni msumari wa moto tulia ukuingie!