Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Zote ni nguvu za soda tu! lakini inawezekana ikawa na mwanzo mzuri lakini anatakiwa kuwa makini sana kwani unapoanza kazi sehemu yoyote ile cha muhimu ni kusoma hali. Asije akaanza na moto wa mafuta ya taa ambao hishia bila hata kuona majivu!
umekuja lini TZ wewe kiasi kwamba humfahamu magufuli?