Mkuu FMES,
Tulipoliongelea hili la Masha + Imma + Deepgreen + Ridhiwani Kikwete, ulijitokeza kumtetea kijana Masha kuwa ni safi, je huu msimamo bado unao au kuna mabadiliko??
najiuliza Wakati Fulani, Hivi Watu Wanaotuhumiwa Kufurahia Ufisadi Huwa Wanajifikiria Nini! Jumamosi Katika Harakati Za Kusaka Mlimbwende Wa Kanda Ya Ziwa, Baada Ya Mshindi Kutangazwa Na Kukabidhiwa Zawadi, Mheshimiwa Sana Masha, Waziri Wa Mambo Ya Ndani Katika Serikali Ya Muungwana, Alimua Naye Kutoa Zawadi Za Kwake Kwa Washindi Na Washiriki Wote.
Sijui Alikuwa Akitafuta Nini Kwa Hawa Warembo, Lakini Pia Sijui Alikuwa Akitafuta Nini Katika Mashindano Haya Ya Kikanda, Ingekuwa Ni Shughuli Ya Jimboni Kwake Nyamagana Au Angalau Mkoa Wake Angeeleweka.
Lakini Wakati Akifanya Hivi, Sijui Kama Alikuwa Amelewa Sana Ama Namna Gani Kuna Watu Ambao Walikuwa Wakishangilia -- Fisadi Fisadi Fisadi -----katika Ukumbi Ule.
Kuna haja ya kujua katoa shillingi ngapi?Tunamfahamu Masha kwa undani na tabia zake hasa akishapata Ulabu.Tunahitaji kujua na ndiyo maana ya Fair PlayGembe,
Hata mwandishi mwenyewe kaiandika habari hii kiudaku udaku, ndo maana bado unauliza maswali. Kwani kuna taabu gani mi nikiamua kugawa zawadi kwa warembo?
Ongeleeni issues acheni udaku.
FairPlayer
Tusipoangalia, Kila Kiongozi Tanzania Ataitwa Fisadi Halafu Na Maana Halisi Ya Ufisadi Itamomonyoka Na Kuwa Kama Yale Yaliyopita Mf. Tapeli, Kihiyo (ambao Wapo Wengi Sana Sasa) Nk.
Kwa Kweli Hii Taarifa Inahitaji Uchambuzi Wa Kina,maana Sijajua Kama Mwandishi Anapinga Mashindano Ya Urembo Au Anapinga Masha Kuwa Mgeni Rasmi Au Anapinga Masha Kuwaonga Waandishi Au Anapinga Masha Kutoa Zawadi Binafsi....kama Ni Mashindano Ya Urembo Basi Anapaswakujua Kuwa Yapo Kitaratibu Zinazokubalika,kama Ni Kuwa Mgeni Rasmi Anapaswa Kujua Kuwa Nafasi Ya Ugeni Rasmi Huwa Haiombwi Bali Unaombwa,kama Ni Kweli Aliwaonga Waandishi Wasitoe Taarifa Nadhani Ungetekeleza Wewe,magazeti Yote Yana Contacts Ungeandika Then Utume Wewe Mwenyewe Na Naamini Wahariri Wangeitumia.na Kama Zawadi Binafsi Hapo Sina La Kusema Maana Ni Yake Na Si Ya Wizara Au Ya Serikali,na Pia Ni Zawadi Gani Na Kama Ni Peni Zenye Nembo Ya Saidia Polisi Kupambana Na Wahalifu????iachwe Hapa Hapa,wewe Umetumwa Ili Uje Umtetee Huyu Kijana?fmes Nawewe Umo Katika Muongo Wa Kusema Kwamba Masha Hajadiliki?
kaka msamehe bure nadhani hakuwa ata anajua kuwa alikuwa anataka kuanduka nini haoa kabla ya kutuandikia....safari bado ni ndefu kama huu nao ni ufisadi wa kujadili humu ndani.Sijaona lolote la kumtuhumu Masha. Jibu swali langu, kutoa zawadi kwa warembo ni kosa?
Yaani bongo hii balaaa kabisa.
Tuambie alligawa shilingi ngapi kwa kila Mlimbwende?
Atakuwa anamuwinda kati ya hao mabinti,myaniambia baadayeSijui inawezekana kuwa na viongozi wa namna hii ni maendeleo, na huenda alichokifanya kinastahili kuungwa mkono kwa mtazamo wa wengine. Lakini kamwe zawadi binafsi kutoka kwa Masha kama , shilingi 150,000 na Seti ya Tv, shilingi laki moja kwa mshindi wa Urembo wa Pili na Laki Moja kwa mshindi wa Tatu, na shilingi 50 kwa kila mmoja kati wengine tisa waliobakia, na hapo hapo kuna zawadi tayari zilikuwa zimetolewa na muaandaaji, lakini pia kuna wahitaji wengi wenye shida katika jimbo lake, hili haliingii akilini.
Lakini Pia tuangalia aina ya viongozi ambao tunawatarajia linapokuja suala la vitendo, mienendo na yale ambayo jamii inatarajia iwafanyie.
Kuna haja ya kujua katoa shillingi ngapi?Tunamfahamu Masha kwa undani na tabia zake hasa akishapata Ulabu.Tunahitaji kujua na ndiyo maana ya Fair Play
__________________
Mgoyangi lete za leoleo, je hakubeba mmoja wao?