wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Hivi waziri kivuli wa Afya wa Tanzania yuko vakesheni?
haya mambo yanayoendelea ya madaktari na Ulimboka nilitegemea wangekuwa wanatoa taarifa mbali mbali na misimamo lakini wako kimya
Hivi kweli hawa CHADEMA kama wana behave kama CCM kweli tutafika?
Tofauti ya hawa CHADEMA ni nini?
haya mambo yanayoendelea ya madaktari na Ulimboka nilitegemea wangekuwa wanatoa taarifa mbali mbali na misimamo lakini wako kimya
Hivi kweli hawa CHADEMA kama wana behave kama CCM kweli tutafika?
Tofauti ya hawa CHADEMA ni nini?