wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Huyu waziri kivuli wa Afya wa CHADEMA amekuwa kama wenzake wa CCMHaonekani, Hasikiki, haijulikani kajificha wapi
. Mtandao wa JF unafanya kazi nzuri kuliko huyu waziri kivuli wa Afya nathubutu kusema kuwa huyu waziri ni DHAIFU na aliyemteua kumpa nafasi hiyo naye DHAIFU kama wenzao wa CCM.
Naomba tuendelee na msako mpaka apatikane ili tujue ana mpango upi mbadala wa kutatua hili tatizo la mgomo wa madaktari na pia kumtolea mchango Ulimboka.
. Mtandao wa JF unafanya kazi nzuri kuliko huyu waziri kivuli wa Afya nathubutu kusema kuwa huyu waziri ni DHAIFU na aliyemteua kumpa nafasi hiyo naye DHAIFU kama wenzao wa CCM.
Naomba tuendelee na msako mpaka apatikane ili tujue ana mpango upi mbadala wa kutatua hili tatizo la mgomo wa madaktari na pia kumtolea mchango Ulimboka.