WAziri KIVULI, CHADEMA, WAZIRI WA AFYA, TAKUKURU shirikianeni kutusaidia sisi wanyonge wa Mkoa wa LIndi, juzi 23/05/2012 katika kijiji cha RUtamba alikufa mama mjamzito kwa gari ya wagonjwa kuishiwa mafuta njiani, katika dodosa gari hiyo ya dharura ilikuwa na mafuta kigodo sana. hii inatokana na uzembe a idara ya Afya makao makuu, ili hali serikali inatenga fedha za kutosha katika budget ili kuokoa maisha ya mama na mtoto na pia ni MDG 4 & 5. ni tatizo na kufanya kazi kwa mazoea MWAZIRI NA TAKUKURU huu ndiyo wakati wa kuwawajibisha wahusika wa sakati hili....kuna fununu kwamba zinafanyika kila jitihada kumwangushia dereva mzigo huu tunaomba haki itendeke si haki hata kidogo!