Usiku huu nilikuwa napitia prospecta ya Chuo Kikuu cha Mzumbe ya mwaka 2008/2009, lengo nilikuwa nataka nijiridhishe kama ni halali kwa Waziri Kamala kuendelea kujiita DR. Nimefanya hivyo nikijua fika kuwa waziri Kamala bado ni mwajiriwa wa Mzumbe University ambaye yuko likizo.
NIMEKOPI NA KUPESTI KAMA INAVYOSOMEKA HAPO CHINI.
Diodorus Kamala Adv. Dip (Econ. Planning), (IDM)
MSc. (Organization Systs.), Lincolnshire,
Humberside, (UK)
MSc. (Agric Development and Rural Finance)
Bradford, (UK)
(On leave of absence)
Umefika wakati sasa anapaswa aache kujiita DR, wenzie karibia wote naona wanasoma Phd upya akiwemo Profesa (Associate) Moses Warioba aliye kuwa VC awali.
Nimemwaga hapa jamvini ili tujadili na kusema sasa imetosha, nadhani huwa anapitia JF salaam atazipata.
NIMEKOPI NA KUPESTI KAMA INAVYOSOMEKA HAPO CHINI.
Diodorus Kamala Adv. Dip (Econ. Planning), (IDM)
MSc. (Organization Systs.), Lincolnshire,
Humberside, (UK)
MSc. (Agric Development and Rural Finance)
Bradford, (UK)
(On leave of absence)
Umefika wakati sasa anapaswa aache kujiita DR, wenzie karibia wote naona wanasoma Phd upya akiwemo Profesa (Associate) Moses Warioba aliye kuwa VC awali.
Nimemwaga hapa jamvini ili tujadili na kusema sasa imetosha, nadhani huwa anapitia JF salaam atazipata.