nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Kairuki aliahidi wiki iliyopita kuwa leo atamkabithi Rais ripoti ya watumishi hewa, cha kushangaza hajafanya hivyo na yupo kimya. Unapokuwa kiongozi muwe mnajaribu kuwa wakweli kwa umma, kuitwa mwanasiasa siyo kila kitu ni siasa njia ya muongo ni fupi mno. Hebu mwogopeni Mungu uongozi ni wa mpito tu.