chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera, uratibu, bunge vijana na watu wenye ulemavu Jenister Mhagama ametoa muda wa mwezi mmoja kwa wafanyakazi waliopo chini ya wizara yake wawe wamehamishia ofisi zao Dodoma kutekeleza agizo la Magufuli la kuhamishia makao makuu Dodoma.
Amewataka wafanyakazi chini ya ofisi yake kulekea Dodoma kabla ya wiki ijayo ili kuweka mazingira ya wizara nyingine zitakazohamia yawe tayari.
Pia ametaka taasisi yoyote ilizoyopanga bajeti ya ujenzi wa ofisi kwenye bajeti ya mwaka huu basi ujenzi huo ukafanyike Dodoma
Amewataka wafanyakazi chini ya ofisi yake kulekea Dodoma kabla ya wiki ijayo ili kuweka mazingira ya wizara nyingine zitakazohamia yawe tayari.
Pia ametaka taasisi yoyote ilizoyopanga bajeti ya ujenzi wa ofisi kwenye bajeti ya mwaka huu basi ujenzi huo ukafanyike Dodoma