wametangualia kutuandalia makao
jamani kuweni kuweni na HURUMA hata kidogo basi ikibidi. sote sisi ni wagonjwa!
wametangualia kutuandalia makao
"It is very cheap" ndio nini, kwa elfu hamsini nitapata safari ya "uchunguzi zaidi"?It is very cheap but with excellent matibabu.
Mi wasi wasi wangu kuhusu wagonjwa walioko huko muda mrefu, inabidi wakae mkao wa kujilinda zaidi maana huwezi kujua hawa wagonjwa wapya ni kweli wagonjwa au wanaenda kwa kazi maalumu.
Nchi inahitaji mabadiliko ya lazima hakuna options!! we need the changes, na wazungu walishaona kipindi hiki ndo watuvune haswa mpaka tutoboke mifuko. Utasikia serikali imekopa, mara dharura, mara kampuni la kimarekani mara NGOs hadi machozi ya damu yatutoke.
Kodi zetu hizi watatibiana wao tuuuuuuuu jamani jamani tutaonana wabayaa kila mtu india mie naenda hosptali za kulipia mitaani nyie endeleeni tu
wakuu huyu jamaa chemi haumwi, nasikia katumwa na kile kikundi cha mauwaji cha ccm kwenda kuwamaliza mwakyembe na Prof mwandosya. angalizo kwa mwaky na mwandosa huyu jamaa asifike hospital mlizolazwa atawamaliza wala asiwakaribie hata kidogo anasumu kali sana ya kuwamaliza.
Kodi zetu hizi watatibiana wao tuuuuuuuu jamani jamani tutaonana wabayaa kila mtu india mie naenda hosptali za kulipia mitaani nyie endeleeni tu
jamani kuweni kuweni na HURUMA hata kidogo basi ikibidi. sote sisi ni wagonjwa!
Maskini kikombe cha babu hakikufanya kazi wala kumsaidia.
] Mi wasi wasi wangu kuhusu wagonjwa walioko huko muda mrefu, inabidi wakae mkao wa kujilinda zaidi maana huwezi kujua hawa wagonjwa wapya ni kweli wagonjwa au wanaenda kwa kazi maalumu.[/COLOR]
Nchi inahitaji mabadiliko ya lazima hakuna options!! we need the changes, na wazungu walishaona kipindi hiki ndo watuvune haswa mpaka tutoboke mifuko. Utasikia serikali imekopa, mara dharura, mara kampuni la kimarekani mara NGOs hadi machozi ya damu yatutoke.
nadhani kuna viongozi chini ya 5 wamelazwa huku India nzima. Kuna watanzania wengi sana wamelazwa huku wafanyakazi wa taasisi mbalimbali, wengine kutoka mikoani na raia wa kawaida ndio wanapata matibabu India. Mzee alikuja baada ya ushauri wa madaktari Muhimbili, ambao tunawashukuru sana kwa ushauri huo.