Waziri augua ghafla...apelekwa nairobi

Ninachoelewa hizo tiba sio free huko nairobi japo nadhani serikali ya tanzania ndio italipa. Si bora hizo hela wangelipia hospitali za tanzania ili kuziboresha
italipa serikali... kwa hela ya donor au walipa kodi ambao ni maskini kule nkoaranga wanaishi kwa shida!!
 
Serian Hospital Arusha is better tha Nairobi kwa sasa na ni a bit cheap. kwa nini hakukimbizwa Arusha, mbona ndege zipo? kuna maswali mengi ya kujiuliza. Wachunguzi wa mabo fuatilieni hili kama halitakuwa na harufu mbaya baadaye!!
 
Wasitake kusingizia foleni kwanza mtu kama waziri akipelekwa Muhimbili hua kuna huduma za VIP za viongozi hawezi kupelekwa Muhimbili akapanga foleni, sema hapo kuna jambo linafanyika nyuma ya pazia.Sio kusingizia foleni.
Halafu pale makumbusho penye nyumba za watu wa usalama si kuna bonge la hospital and very modern, si angeenda pale?
Huko bungeni mnashindwa kutetea na kuboresha huduma za afya including incentives kwa madokta matokeao yake wote wanaishia nchi za nje halafu mnabaki kukimbia mara india, mara nairobi kama vichwa vya wendawazimu.
 
Halafu pale makumbusho penye nyumba za watu wa usalama si kuna bonge la hospital and very modern, si angeenda pale?
Huko bungeni mnashindwa kutetea na kuboresha huduma za afya including incentives kwa madokta matokeao yake wote wanaishia nchi za nje halafu mnabaki kukimbia mara india, mara nairobi kama vichwa vya wendawazimu.
..Carmel kula senksi yangu kwanza...ukitaka kutambua ufisadi na ubinafsi wao angalia hili suala lao wanalopigiana kelele kuhusu kuongeza posho za wabunge. Kuna watu ambao mimi naamini walistahili sana kuboreshewa mazingira ya kazi na mafao kama walimu na madaktari lakini hakuna mbunge hata mmoja ambaye amejitoa mhanga kulizungumza hili. Unajua wakati mwingine unaweza kudhani viongozi wetu sijui ndio njaa au kuna shetani gani mle mjengon akili zao huwa mgando zaidi ya maziwa....
 
..lakini hakuna mbunge hata mmoja ambaye amejitoa mhanga kulizungumza hili. .

Kwa dataz mkuu ngoja nikukumbushe ni Dr.Slaa pekee ndo alikuwa anapigania posho zipunguzwe waongezwe hao mishahara lakini alizimwa kama kibatari bungeni na wabunge wakawa wanamtenga.
 
bahati nzuri huwa wanafiaga hukohuko wanapokimbilia.
sie wenye Mungu wetu tunadunda na kuishi kwenye huduma mbovu za afya na hatufi kibwege kama wao
 
Kukimbizwa Nairobi kwa ajiri ya foleni za hospitali Dar? Hii nayo ni statement ya aina yake! Tunakimbia kivuli chetu wenyewe kwa kutafuta misamiati isiyoweza kutuonea huruma siku ya hukumu maana hatukujiandaa.
Anyway, ingawa sijui anaugua nini, ila huyu mkubwa ni mmoja ya watu wanaopenda kujiweka fit kwa mazoezi. Namtakia apone haraka ili aonekane tena mazoezini.
 
Wanasiasa wa Tz.; wanaweka pesa Uswis. wanatibiwa India na A,Kusini. Wanajenga London, wanawekeza U.S.A, au S.Africa, shopping Dubai, Likizo na matanuzi Paris, LAKINI wakifa wanazikwa TZ,,, hivi TZ ni ni MAKABURINI??????????
 
We waache tu wafuje kodi zetu hata kwa vigonjwa vidogo, vidogo kutaka kukwea pipa.Siku moja ntaenda kulala kwenye njia ya kurukia ndege.na wao waende wakaone tabu tunazokutana nao mwanyamala na amana labda watajitahid kuboresha huduma za afya
 
mwee mwenzangu na mie nakimbizwa na ambulance mwananyamala hospital tena hapo nishahonga pesa ya mafuta :A S confused:
 
Hii thread ya mwaka 2010 baada mda mfupi baada ya uchaguzi na moja ya ahadi tulizoahidiwa ni pomoja na kuboresha huduma za afya leo 2014 sijui wamefanikiwa kiasi?
 
Back
Top Bottom