Waziri ataka wanafunzi waandamane wenzao waliokopa walipe!

The Khoisan

JF-Expert Member
Jun 5, 2007
15,393
12,977
Waziri ataka wanafunzi waandamane kuwadai wenzao waliokopa walipe Send to a friend
Sunday, 06 November 2011 20:11
0diggsdigg

Peter Saramba, Arusha
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.

Amesema wahitimu wengi walikopeshwa zaidi ya Sh21 bilioni ili kusoma kwenye vyuo mbalimbali, lakini baada ya kupata kazi wanakwepa kulipa mikopo hiyo.

Mlugo alisema wanaosoma vyuoni sasa hawana budi kuandamana ili kuwashinikiza waliotangulia walipe fedha hizo ili ziweze kukopeshwa kwa wanafunzi wengine zaidi.

“Fedha hizo zilikopeshwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu utoaji wa mikopo ulipoanza mwaka wa masomo wa 2004/05 na kama zitapatikana zitaiwezesha Serikali kukopesha wahitaji wengi zaidi kuliko idadi ya sasa”, alisisitiza.

Naibu Waziri Mulugo alisema hayo alipozungumza kwenye sherehe za mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Mount Meru eneo la Ngaramtoni, nje kidogo ya mji wa Arusha.

Alisema baadhi ya wanaodaiwa fedha hizi wamefanikiwa kupata ajira rasmi huku wengine wakijiajiri wenyewe baada ya Serikali kugharamia elimu yao kupitia mikopo ambayo sasa hawataki kurejesha.

“Tusiandamane (wanafunzi) kudai mikopo kutoka bodi ya mikopo pekee, sasa tuandamane pia kushinikiza waliokopeshwa sasa wanafanya kazi au kujiajiri warejeshe fedha walizokopeshwa ili ziingizwe kwenye mzunguko utakaowezesha wengi kufaidika,” alisema Mulugo akipigiwa makofi.

Alisema Serikali ina nia ya dhati kuhakikisha wote wanaofaulu na kupata sifa za kujiunga na elimu ya juu wanapata fursa hiyo bila kujali uwezo kiuchumi wa mhusika, wazazi au walezi wake, lakini lengo hilo linakwamishwa na kipato kidogo na changamoto nyingi zinazohitaji kushughulikiwa na Serikali akitaja uboreshaji wa huduma za afya, miundombinu na huduma zingine za kijamii.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Naibu waziri huyo, idadi ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokopeshwa imekuwa ikiongezeka kila mwaka wa masomo ambapo mwaka 2004/5 , Sh 9.9 bilioni zilitumika kuwakopesha wanafunzi 16,345 kabla ya idadi hiyo kuongezeka hadi kufikia wanafunzi 42,729 mwaka uliofuata.

Kuhusu maendeleo katika sekta ya elimu, hasa elimu ya juu, Naibu waziri huyo alisema nchi ilipopata uhuru mwaka 1961 kulikuwa na chuo kikuu kimoja pekee lakini sasa vipo vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki 41, kati ya hivyo 12 vikiwa vy umma na 29 vya binafsi huku udahili ukiongezeka kutoka wanafunzi 14 kwa wakati huo hadi 155,757 kwa sasa.

Katika risala yao kwa mgeni rasmi, wahitimu 414 wa Chuo Kikuu cha Mount Meru waliishauri serikali kuwa pamoja na kuanzisha dawati la mikopo vyuoni, muda umefika wa kufikiria kuanzisha Ofisi za Kanda za Bodi ya Mikopo ili kurahisisha na kuongeza ufanisi kiutendaji.

Add this page to your favorite Social Bookmarking websites

[h=4]Comments [/h]


https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #3 bugota 2011-11-07 07:55 Mheshimiwa tunashukuru kwamba umeongelea hilo. Lakini ikumbukwe kwamba swala la kusomeshwa na serikali halijaanza 2004/2005 pekee bali ni kuanzia enzi zile zenu nyie Vigogo. Tena nyie ndio mlikula pesa nyingi za Watanzania kuliko sisi ambao hata pesa zilikuwa zinatolewa baada ya kuwa tumepigwa Mabomu pale Survey karibu na Mwenge.
Pia Serikali imeshindwa Kudhibiti Wawekezaji amabao wanaendelea kupora ajira za Watanzania migodini na kuingiza watu wao wasio hata na elimu na kwa kuwa UHAMIAJI nao wamejaa RUSHWA, wanatoa tu vibali vya kufanya kazi kwa watu hawa.
Mbali na hayo, Serikali imeshindwa kuwaamuru Mafisadi woote warudhishe pesa za Watanzania ziweze saidia haya.

Sasa kama tumesoma halafu ajira zinaenda na wageni, mnategemea tulipe vipi wakati sasa hivi tumelazimika kufanya kazi ambazo hazihusishi kabisa Elimu zetu?

Hapa mmekwama.... Haturudishi ng'o hadi mrudishe pesa za EPA, RICHMOND na DOWANS..
Quote










https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+1 #2 matiko matale 2011-11-07 07:43 walioiba ndo waanze kurudisha kisha waliokopa wadaiwe
Quote










https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #1 rutashubanyuma 2011-11-07 06:53 Quote:
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.​

huyu atabaki kuwa naibu tu...................hajui ya kuwa ugumu wa maisha ndiyo unawafanya wasiweze kulipa.................jawabu ni kuwasamehe wote wale itakaobainika hawajapata kazi kwa miaka 5 tangia wamalize mafunzo yao....................mbona makampuni hewa husamehewa madeni na hata bunge huhusishwa?
 
Waziri ataka wanafunzi waandamane kuwadai wenzao waliokopa walipe Send to a friend

Sunday, 06 November 2011 20:11
0diggsdigg

Peter Saramba, Arusha
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.

Amesema wahitimu wengi walikopeshwa zaidi ya Sh21 bilioni ili kusoma kwenye vyuo mbalimbali, lakini baada ya kupata kazi wanakwepa kulipa mikopo hiyo.

Mlugo alisema wanaosoma vyuoni sasa hawana budi kuandamana ili kuwashinikiza waliotangulia walipe fedha hizo ili ziweze kukopeshwa kwa wanafunzi wengine zaidi.

"Fedha hizo zilikopeshwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu utoaji wa mikopo ulipoanza mwaka wa masomo wa 2004/05 na kama zitapatikana zitaiwezesha Serikali kukopesha wahitaji wengi zaidi kuliko idadi ya sasa", alisisitiza.

Naibu Waziri Mulugo alisema hayo alipozungumza kwenye sherehe za mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Mount Meru eneo la Ngaramtoni, nje kidogo ya mji wa Arusha.

Alisema baadhi ya wanaodaiwa fedha hizi wamefanikiwa kupata ajira rasmi huku wengine wakijiajiri wenyewe baada ya Serikali kugharamia elimu yao kupitia mikopo ambayo sasa hawataki kurejesha.

"Tusiandamane (wanafunzi) kudai mikopo kutoka bodi ya mikopo pekee, sasa tuandamane pia kushinikiza waliokopeshwa sasa wanafanya kazi au kujiajiri warejeshe fedha walizokopeshwa ili ziingizwe kwenye mzunguko utakaowezesha wengi kufaidika," alisema Mulugo akipigiwa makofi.

Alisema Serikali ina nia ya dhati kuhakikisha wote wanaofaulu na kupata sifa za kujiunga na elimu ya juu wanapata fursa hiyo bila kujali uwezo kiuchumi wa mhusika, wazazi au walezi wake, lakini lengo hilo linakwamishwa na kipato kidogo na changamoto nyingi zinazohitaji kushughulikiwa na Serikali akitaja uboreshaji wa huduma za afya, miundombinu na huduma zingine za kijamii.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Naibu waziri huyo, idadi ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokopeshwa imekuwa ikiongezeka kila mwaka wa masomo ambapo mwaka 2004/5 , Sh 9.9 bilioni zilitumika kuwakopesha wanafunzi 16,345 kabla ya idadi hiyo kuongezeka hadi kufikia wanafunzi 42,729 mwaka uliofuata.

Kuhusu maendeleo katika sekta ya elimu, hasa elimu ya juu, Naibu waziri huyo alisema nchi ilipopata uhuru mwaka 1961 kulikuwa na chuo kikuu kimoja pekee lakini sasa vipo vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki 41, kati ya hivyo 12 vikiwa vy umma na 29 vya binafsi huku udahili ukiongezeka kutoka wanafunzi 14 kwa wakati huo hadi 155,757 kwa sasa.

Katika risala yao kwa mgeni rasmi, wahitimu 414 wa Chuo Kikuu cha Mount Meru waliishauri serikali kuwa pamoja na kuanzisha dawati la mikopo vyuoni, muda umefika wa kufikiria kuanzisha Ofisi za Kanda za Bodi ya Mikopo ili kurahisisha na kuongeza ufanisi kiutendaji.

Add this page to your favorite Social Bookmarking websites


Comments




0 #3 bugota 2011-11-07 07:55 Mheshimiwa tunashukuru kwamba umeongelea hilo. Lakini ikumbukwe kwamba swala la kusomeshwa na serikali halijaanza 2004/2005 pekee bali ni kuanzia enzi zile zenu nyie Vigogo. Tena nyie ndio mlikula pesa nyingi za Watanzania kuliko sisi ambao hata pesa zilikuwa zinatolewa baada ya kuwa tumepigwa Mabomu pale Survey karibu na Mwenge.
Pia Serikali imeshindwa Kudhibiti Wawekezaji amabao wanaendelea kupora ajira za Watanzania migodini na kuingiza watu wao wasio hata na elimu na kwa kuwa UHAMIAJI nao wamejaa RUSHWA, wanatoa tu vibali vya kufanya kazi kwa watu hawa.
Mbali na hayo, Serikali imeshindwa kuwaamuru Mafisadi woote warudhishe pesa za Watanzania ziweze saidia haya.

Sasa kama tumesoma halafu ajira zinaenda na wageni, mnategemea tulipe vipi wakati sasa hivi tumelazimika kufanya kazi ambazo hazihusishi kabisa Elimu zetu?

Hapa mmekwama.... Haturudishi ng'o hadi mrudishe pesa za EPA, RICHMOND na DOWANS..
Quote










+1 #2 matiko matale 2011-11-07 07:43 walioiba ndo waanze kurudisha kisha waliokopa wadaiwe
Quote










0 #1 rutashubanyuma 2011-11-07 06:53 Quote:
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.​

huyu atabaki kuwa naibu tu...................hajui ya kuwa ugumu wa maisha ndiyo unawafanya wasiweze kulipa.................jawabu ni kuwasamehe wote wale itakaobainika hawajapata kazi kwa miaka 5 tangia wamalize mafunzo yao....................mbona makampuni hewa husamehewa madeni na hata bunge huhusishwa?
kumbe bado atuja deni letu bado hafujafika mahela walioiba ya EPA kwa sasa tusamehane ngoja na mie ninunue VITZ kwanza ndio tutangalia namna ya kurudisha hizo pesa waache ujinga warudishe kwa pesa walizofisadi ndio nasie tutawalipa hizo alaaaaaaaaaaah.
mmetutesa sana na mikopo yenu utafikiri sio wajibu wenu kutosemesha tuje kuokoa hii nchi ambayo haijakomboka kifikra kwa kiasi kikubwa sana
walidushe kwanza wao ..............
 
Waziri ataka wanafunzi waandamane kuwadai wenzao waliokopa walipe Send to a friend



Sunday, 06 November 2011 20:11
0diggsdigg

Peter Saramba, Arusha
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.

Amesema wahitimu wengi walikopeshwa zaidi ya Sh21 bilioni ili kusoma kwenye vyuo mbalimbali, lakini baada ya kupata kazi wanakwepa kulipa mikopo hiyo.

Mlugo alisema wanaosoma vyuoni sasa hawana budi kuandamana ili kuwashinikiza waliotangulia walipe fedha hizo ili ziweze kukopeshwa kwa wanafunzi wengine zaidi.

"Fedha hizo zilikopeshwa kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu utoaji wa mikopo ulipoanza mwaka wa masomo wa 2004/05 na kama zitapatikana zitaiwezesha Serikali kukopesha wahitaji wengi zaidi kuliko idadi ya sasa", alisisitiza.

Naibu Waziri Mulugo alisema hayo alipozungumza kwenye sherehe za mahafali ya Saba ya Chuo Kikuu cha Mount Meru eneo la Ngaramtoni, nje kidogo ya mji wa Arusha.

Alisema baadhi ya wanaodaiwa fedha hizi wamefanikiwa kupata ajira rasmi huku wengine wakijiajiri wenyewe baada ya Serikali kugharamia elimu yao kupitia mikopo ambayo sasa hawataki kurejesha.

"Tusiandamane (wanafunzi) kudai mikopo kutoka bodi ya mikopo pekee, sasa tuandamane pia kushinikiza waliokopeshwa sasa wanafanya kazi au kujiajiri warejeshe fedha walizokopeshwa ili ziingizwe kwenye mzunguko utakaowezesha wengi kufaidika," alisema Mulugo akipigiwa makofi.

Alisema Serikali ina nia ya dhati kuhakikisha wote wanaofaulu na kupata sifa za kujiunga na elimu ya juu wanapata fursa hiyo bila kujali uwezo kiuchumi wa mhusika, wazazi au walezi wake, lakini lengo hilo linakwamishwa na kipato kidogo na changamoto nyingi zinazohitaji kushughulikiwa na Serikali akitaja uboreshaji wa huduma za afya, miundombinu na huduma zingine za kijamii.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Naibu waziri huyo, idadi ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokopeshwa imekuwa ikiongezeka kila mwaka wa masomo ambapo mwaka 2004/5 , Sh 9.9 bilioni zilitumika kuwakopesha wanafunzi 16,345 kabla ya idadi hiyo kuongezeka hadi kufikia wanafunzi 42,729 mwaka uliofuata.

Kuhusu maendeleo katika sekta ya elimu, hasa elimu ya juu, Naibu waziri huyo alisema nchi ilipopata uhuru mwaka 1961 kulikuwa na chuo kikuu kimoja pekee lakini sasa vipo vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki 41, kati ya hivyo 12 vikiwa vy umma na 29 vya binafsi huku udahili ukiongezeka kutoka wanafunzi 14 kwa wakati huo hadi 155,757 kwa sasa.

Katika risala yao kwa mgeni rasmi, wahitimu 414 wa Chuo Kikuu cha Mount Meru waliishauri serikali kuwa pamoja na kuanzisha dawati la mikopo vyuoni, muda umefika wa kufikiria kuanzisha Ofisi za Kanda za Bodi ya Mikopo ili kurahisisha na kuongeza ufanisi kiutendaji.

Add this page to your favorite Social Bookmarking websites



Comments




0 #3 bugota 2011-11-07 07:55 Mheshimiwa tunashukuru kwamba umeongelea hilo. Lakini ikumbukwe kwamba swala la kusomeshwa na serikali halijaanza 2004/2005 pekee bali ni kuanzia enzi zile zenu nyie Vigogo. Tena nyie ndio mlikula pesa nyingi za Watanzania kuliko sisi ambao hata pesa zilikuwa zinatolewa baada ya kuwa tumepigwa Mabomu pale Survey karibu na Mwenge.
Pia Serikali imeshindwa Kudhibiti Wawekezaji amabao wanaendelea kupora ajira za Watanzania migodini na kuingiza watu wao wasio hata na elimu na kwa kuwa UHAMIAJI nao wamejaa RUSHWA, wanatoa tu vibali vya kufanya kazi kwa watu hawa.
Mbali na hayo, Serikali imeshindwa kuwaamuru Mafisadi woote warudhishe pesa za Watanzania ziweze saidia haya.

Sasa kama tumesoma halafu ajira zinaenda na wageni, mnategemea tulipe vipi wakati sasa hivi tumelazimika kufanya kazi ambazo hazihusishi kabisa Elimu zetu?

Hapa mmekwama.... Haturudishi ng'o hadi mrudishe pesa za EPA, RICHMOND na DOWANS..
Quote










+1 #2 matiko matale 2011-11-07 07:43 walioiba ndo waanze kurudisha kisha waliokopa wadaiwe
Quote










0 #1 rutashubanyuma 2011-11-07 06:53 Quote:
NAIBU Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo amewasihi wanafunzi wa elimu ya juu nchini kuandamana ili kushinikiza waliokopeshwa fedha za elimu miaka ya nyuma walipe ili wapewe wengine.​

huyu atabaki kuwa naibu tu...................hajui ya kuwa ugumu wa maisha ndiyo unawafanya wasiweze kulipa.................jawabu ni kuwasamehe wote wale itakaobainika hawajapata kazi kwa miaka 5 tangia wamalize mafunzo yao....................mbona makampuni hewa husamehewa madeni na hata bunge huhusishwa?
kumbe deni letu bado hafujafika mahela walioiba ya EPA ,na makashfa yote LOL kwa sasa tusamehane ngoja na mie ninunue VITZ , nipeleke wadogo zangu sekondari kwanza ndio tutangalia namna ya kurudisha hizo pesa waache ujinga warudishe kwa pesa walizofisadi ndio nasie tutawalipa hizo alaaaaaaaaaaah.
mmetutesa sana na mikopo yenu utafikiri sio wajibu wenu kutosemesha tuje kuokoa hii nchi ambayo haijakomboka kifikra kwa kiasi kikubwa sana
walidushe kwanza wao ..............
 
Mimi nilitegema waziri awaombe wananchi waandamane kushinikiza pesa za EPA ziingizwe kwenye elimu, taifa linawaelimisha vijana wake kwa shingo upande utadhani watoto wa kambo! Kuna mianya mingapi inayovujisha pesa za umma katika taifa hili na sijasikia waziri yeyote akitoa tamko la kuandamana? Je waziri ameshafanya tathimin hao waliosoma kwa mkopo wa serikali wameajiriwa na wanalipwa japo kiasi cha kujikim kimaisha mathalani wawe na uwezo wa kulipia kodi ya nyumba, usafiri, chakula, mavazi, umeme, maji nk?
 
Hii inaonyesha jinsi serikal yetu ilivyo legelege,serikal makini inakuwa na mfumo madhubuti unaohakikisha wadaiwa wanalipa.
 
Mbona sijasikia waziri akihamasisha maandamano juu ya mafisadi,mikataba mibovu,rushwa,katiba mbovu,nk siwezi kupoteza muda wangu kwa mambo ya kipuuzi kama hayo aandamane mwenyewe pamoja wizara yake mimi simo.
 
Huyu waziri kimeo kweli kweli. Yaani anataka watu waandamane kwa makosa ya serikali yake yenyewe.
 
kila mwenye mawazo ya kishetani, anamwakilisha shetani na alaaaniwe kwa nguvu zote!
 
yule nae ni mpuuzi tu watu walipe watalipia nini????????kuna watu wana miaka mi3 mtaani tangu wamalize chuo hawana ajira,waajiri watu ndo wawakate kwenye mishahara
 
Mimi nawashangaa sana hawa watu, kuna waraka umekuja ofcn kwetu unasema kila mtu aorodheshe chuo alichosoma na idadi ya mkwanja alioukopa ili waanze kufanya deducation kwenye mishahara yetu, sasa mimi sielewi kodi ninayolipa inafanya kazi gani?
 
unaandamana kuelekea makwao hao waliokopa! coz wengi wao hadi sasa hawana ajira.
 
Kweli Mulugo anaumwa wazimu, anangoja nini kujiuzulu uwazili kama hana analolijua na hana mkakati wa kukusanya madeni hayo?Kwani wanafunzi wakiandamana ndio atapata takwimu za wadaiwa na wapi walipo? Haya ndio madhara ya kupeana vyeo kwa mitandao.
 
Waandamane wakafikishe ujumbe kwa nani? Au kuna chama cha wanaodaiwa na bodi dah hii nchi tamu sana kwa wajanja ila chungu kwa mapatriot
 
Back
Top Bottom