Waziri anapolidanganya taifa;naomba mwongozo jamani(ibara,kifungu nk)

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,910
22,058
Wapendwa najua wote n binadamu lakini hawa mawaziri wa serikali ya sasa nahisi wahuni na wababishaji sasa imefika wananchi kuwaondoa kama ni kwa maandamano ama lah..lakini ni vyema tukaanza kuwaangamiza na vifungu vya sheria kwanza

huyu waziri wa nishati alidiriki kututajia wamiliki wa dowans na kusema ndio halisi sasa ktkt majina yao akuna jila la huyu bana alietoka huko uarabuni na kudai yeye n mmiliki wa dowans....ndg wapendwa amwoni kuna umuhimu wa kumlazimisha huyu mpuuzi kuondoka madarakani..kwa nini audanganyike umaa wa watanzania bora upuuzi huu angeusomea bungen lakini anaita vyombo vya habari na kukaa kimya si ustaarabu

tunaitaji another squre jamani

get ready c u at top
 
Wapendwa najua wote n binadamu lakini hawa mawaziri wa serikali ya sasa nahisi wahuni na wababishaji sasa imefika wananchi kuwaondoa kama ni kwa maandamano ama lah..lakini ni vyema tukaanza kuwaangamiza na vifungu vya sheria kwanza

huyu waziri wa nishati alidiriki kututajia wamiliki wa dowans na kusema ndio halisi sasa ktkt majina yao akuna jila la huyu bana alietoka huko uarabuni na kudai yeye n mmiliki wa dowans....ndg wapendwa amwoni kuna umuhimu wa kumlazimisha huyu mpuuzi kuondoka madarakani..kwa nini audanganyike umaa wa watanzania bora upuuzi huu angeusomea bungen lakini anaita vyombo vya habari na kukaa kimya si ustaarabu

tunaitaji another squre jamani

get ready c u at top

Boresha hoja yako kwa kuweka wamiliki waliotajwa na Waziri Ngeleja. Ila ninachokumbuka alisema DOWANS Tanzania wanahisa wake ni DAWAS SA na...........sasa huyu aliyekuja kama ndiye mmiliki wa DOWANS SA yenye majority share in DOWANS Tanzania, Indirect atakuwa mmiliki wa DOWANS Tanzania.
 
Back
Top Bottom