tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
kwenye taarifa ya habari ya saa 2 jana usiku, Spika (bi Kiroboto) wa bunge la JMT clearly alisikika akisema kwamba once waziri (mathalani) wa fedha akiisoma hotuba yake ya bajeti ambayo imeshapitishwa na vikao vya chini basi wabunge kwenye bunge hawawezi kubadilisha kitu. kama huyu ndio refarii na kamisaa wa mechi ana-declare kwamba mechi anayoichezesha tayari ina matokeo fixed yaliyopatikana kwenye pre-match meeting, je anafaa kwa faida ya taifa hili? kama hii ndio mind-set yake kwamba bunge letu ni rubber-stamp, je anatufaa?