Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,722
- 515
I am sorry to say this...Kwa kweli ndani ya moyo naamini kuwa the last time we hand as serious premier ilikuwa ni Hayati Sokoine..
Hivi Pinda kama waziri mkuu wa nchi anawezaje ku-sanction kauli kwamba watanzania hawapati fursa za ajira kwa sababu ya kuwa na excuses. After all kila nchi ina social cultural yake.
Hivi WM anapaswa kusimamia policy na sheria za nchi au feelinga za wawekezaji? SHAME
Hivi Pinda kama waziri mkuu wa nchi anawezaje ku-sanction kauli kwamba watanzania hawapati fursa za ajira kwa sababu ya kuwa na excuses. After all kila nchi ina social cultural yake.
Hivi WM anapaswa kusimamia policy na sheria za nchi au feelinga za wawekezaji? SHAME