Mi naona hakuna haja ya kuungana nao hawa jamaa, kinachonishangaza ukinunua gari zanzibar kuleta hapa dar tra wanakutoza ushuru upya it seems zenji sio tanzania si bola kuendelea kulipa kodi tunayilipa hapa kwetu,tupaone zanzibar kama visiwa vya Comoro au mayote, inchi gani halingani hata na mkoa wetu hapa,wasituzingue bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.