Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Serikali iko katika hatua za mwisho kutekeleza majaribio ya mpango wa pensheni kwa wazee wote nchini wenye umri wa kuanzia miaka 60 na kuendelea bila kujali kuwa walikuwa watumishi serikalini au la ili kuwazesha kujikimu mahitaji yao muhimu ya kila siku.
Tanzania inakadiriwa kuwa na wazee wapatao milioni mbili ambayo ni sawa na asilimia nne ya wananchi wote.
My take: Nakumbuka miaka ya 70s na mwanzoni mwa 80 kulikuwa na nyumba za kulelea wazee mfano pale Mwanza Community Centre eneo la Mviringo kulikuwa na nyumba ambapo wazee walikuwa wakihudumiwa na serikali sijui mpango huo uliishia wapi.
Serikali imekuja na mpango mzuri inaonesha imewakumbuka wazee wake lakini je utakuwa endelevu au ni mradi wa wajanja?
Tanzania inakadiriwa kuwa na wazee wapatao milioni mbili ambayo ni sawa na asilimia nne ya wananchi wote.
My take: Nakumbuka miaka ya 70s na mwanzoni mwa 80 kulikuwa na nyumba za kulelea wazee mfano pale Mwanza Community Centre eneo la Mviringo kulikuwa na nyumba ambapo wazee walikuwa wakihudumiwa na serikali sijui mpango huo uliishia wapi.
Serikali imekuja na mpango mzuri inaonesha imewakumbuka wazee wake lakini je utakuwa endelevu au ni mradi wa wajanja?