mkuu ulipotelea wapi huwa nakuamini sanaJapan u 19 Y
Las parmas Y
Total odds 2.98
stake 80,000
Huo ndio mkeka wa leo, ngoja niendelee kusoma post za nyuma nyuma. maana nilikua nje ya game kitambo kidogo.
ThanksHONGERA
Kama nimekuelewa vizuri inamaana kwenye hiyo mechi in the first half kusiwe na goli hata moja, bali magoli yote ya hiyo mechi yapatikane second half. Basically hizo timu zifungane kuanzia second half.MAGOLI YOTE KIPINDI CHA PILI option hii siielewi wakuu naomba maelezo ya kina.
BET LOSE ALAANIWE ROMANICE, ROMA, KOLN zote kushinda nenda hata benki ujikopeshe ushindi ni lazima
Na pale mkuu kuna NO & YES half time ilikuwa 1-0 nikaweka NO sijui inakuwajeKama nimekuelewa vizuri inamaana kwenye hiyo mechi in the first half kusiwe na goli hata moja, bali magoli yote ya hiyo mechi yapatikane second half. Basically hizo timu zifungane kuanzia second half.
Unatumia site ipi, na unaweza ukaandika hiyo option iliandikwaje, au weka screenshotNa pale mkuu kuna NO & YES half time ilikuwa 1-0 nikaweka NO sijui inakuwaje
Yap
Inabidi utabiri mechi 12, kuwa timu ipi itashinda au watatoka draw. na uwe umepatia kuanzia mechi 9 na kuendelea, kama sijakosea.M-bet perfect 12 ndio ipoje?
Hata mm nilidhan hivyo lkn wakaweka mkeka una timu 17,cjajua hapo inakuwajeInabidi utabiri mechi 12, kuwa timu ipi itashinda au watatoka draw. na uwe umepatia kuanzia mechi 9 na kuendelea, kama sijakosea.
Roma kaharibuNICE, ROMA, KOLN zote kushinda nenda hata benki ujikopeshe ushindi ni lazima
Ooh, hizo timu tano nyingine inabidi ubashiri pia mechi hizo. Hizo timu tano zitatumika pale kama kuna mechi kati ya timu 12 za mwanzo imeahirishwa. So watachukua prediction ya timu ya kwanza ya reserve badala ya mechi iliyohairishwa.Hata mm nilidhan hivyo lkn wakaweka mkeka una timu 17,cjajua hapo inakuwaje
Hapo nimekusoma,ila mkeka umeshachanwa na Roma,chievo,Villarreal,athletic club na sasa southamptonOoh, hizo timu tano nyingine inabidi ubashiri pia mechi hizo. Hizo timu tano zitatumika pale kama kuna mechi kati ya timu 12 za mwanzo imeahirishwa. So watachukua prediction ya timu ya kwanza ya reserve badala ya mechi iliyohairishwa.
Kaka saluti kwako,,,