Wajinga sana hawa!!!!
PSV sijui wana mabusha leo mamaeeeee zao ... wanaongoza ligi wanacheza na timu iliyo mkiani na imepigwa red card dk 34 lkn mpk saiv 64' 0-0 ... 3+ itapatikana kwli hapa ... grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Mimi niliwapa 2+ duh! Hapa mkeka kwishaaa QUMERS zao...
PSV sijui wana mabusha leo mamaeeeee zao ... wanaongoza ligi wanacheza na timu iliyo mkiani na imepigwa red card dk 34 lkn mpk saiv 64' 0-0 ... 3+ itapatikana kwli hapa ... grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Nimecheza inplay nikawapa 1+ na yenyewe naona inagoma
Hizi timu nazo zinabet hii PSV janga
PSV sijui wana mabusha leo mamaeeeee zao ... wanaongoza ligi wanacheza na timu iliyo mkiani na imepigwa red card dk 34 lkn mpk saiv 64' 0-0 ... 3+ itapatikana kwli hapa ... grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Na penalt walikosa, kwel hawa wanabet naoHizi timu nazo zinabet hii PSV janga
Hizi timu nazo zinabet hii PSV janga
Uholanzi bado hakujachangamka..mbabe bado hayupo...jamaa walikuwa wanzaui balaa...watu 9 nyumaView attachment 389329PSV wamefanya walichotumwa na mabosi wao
Hizi timu mabosi wao watakuwa wanabeti. Wakiangalia droo kuna odds nyingi wanatupia mzigo wanalimwagaPsv goal attempt 26/2 ball possesion 73%/17% lkn matokeo 0/0
Umeona mechi?PSV walikuwa wanatafuta ushindi kweli kweli lakini mpira una matokeo 3Hizi timu mabosi wao watakuwa wanabeti. Wakiangalia drop kuna odds nyingi wanatupia mzigo wanalimwaga
Kama man u janaUmeona mechi?PSV walikuwa wanatafuta ushindi kweli kweli lakini mpira una matokeo 3
Ni mimi nataka nifanye Kaz ya kubetWewe ndo hauna kazi au elfu5 yako ndo haina kazi???? Kama ni wewe tafuta kazi ila ni elfu5, jifunze kupitia posts za nyuma