mkuu, nasubiri kitu kama 3k nimlipulie kanji....kasungura kenyewe kadogo sana...hahahahaha!unasubir sh ngap mkuu ili nifanye booking ya vocha
mwaka huu hawa kenge wasiposhuka daraja, sijui...kwani torres hachezagi?Mwaka huu atletico na Madrid tunatakiwa kuwachunga sana hizo mechi za mwanzo ngumu
meridian wasengerema sana!
na matokeo ya awali yanajumuishwa au yale huwa yanafutwamkuu, kama inavyoonyesha, hii mechi iemkuwa ABANDONED, so iitachezwa tena kuanzia dakika iliposimama...mechi hizi huwa hazikai muda mrefu sana...mara nyingi huchezwa ndani ya saa 24...na huenda ikachezwa leo...huwa haiwekwi kwenye fixture tena, so sio rahisi kujua itachezwa muda gani....wewe endelea kuchungulia mkeka wako ukionesha alama ya green kachukue mpunga wako.
View attachment 389149
badilisha browser mkuu, mi imenisumbua nimejaribu e-browser naona iko poahawa wasengerema wameanza tena mambo yao ya kiQUMER!
View attachment 389168
Mechi ile ya kwanza Sijamuona toresmwaka huu hawa kenge wasiposhuka daraja, sijui...kwani torres hachezagi?
Jubilo ligi GanNendeni kwa jubilo mm nakusanya tu hela
Wewe ndo hauna kazi au elfu5 yako ndo haina kazi???? Kama ni wewe tafuta kazi ila ni elfu5, jifunze kupitia posts za nyumaMimi mgen humu mtaji wangu buku tano Sina kazi.... Nipen maujuz
Wewe ndo hauna kazi au elfu5 yako ndo haina kazi???? Kama ni wewe tafuta kazi ila ni elfu5, jifunze kupitia posts za nyuma
Hawa jamaa wanaboa kinoma...tatizo gan kila cku haliishimeridian acheni kutoa mbwa basiiiiii daaaah...... kubeti tubeti kwa shida na kuliwa tuliwe WTF
Wajinga sana hawa!!!!Hawa jamaa wanaboa kinoma...tatizo gan kila cku haliishi