Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Wakuu nipo nasikiliza kipindi cha pata pata cha Wapo radio ambapo wazee wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani wamewaomba chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA waende wilayani humu ili wao warudishe kadi za CCM kwani madiwani wa wilaya hiyo ambao wengi ni wa CCM wamewasaliti wananchi hao kwa kutowasikiliza matatizo yao wakati wakati wa kampeni madiwani hao wa magamba walifanya kampeni hadi usiku.
Wazee hao wamesema wamekichoka CCM na wapo tayari kuhamia CHADEMA kwani wana imani ndicho chama kinachnweza kuwakombna.Nawaomba viongozi wa CHADEMA waanze kuendesha operesheni sangara ili kuzoa wanachama huko Mkuranga kwani wananchi wameisha wachoka magamba.
Wazee hao wamesema wamekichoka CCM na wapo tayari kuhamia CHADEMA kwani wana imani ndicho chama kinachnweza kuwakombna.Nawaomba viongozi wa CHADEMA waanze kuendesha operesheni sangara ili kuzoa wanachama huko Mkuranga kwani wananchi wameisha wachoka magamba.