K kaleju Member Jan 27, 2011 48 2 Jan 30, 2011 #41 Someni hacha mambo ya kucheza miziki na kuwaiga akina Michael Jasckon. Headmaster mmoja akimanisha wasome wasimuige Michael jackson
Someni hacha mambo ya kucheza miziki na kuwaiga akina Michael Jasckon. Headmaster mmoja akimanisha wasome wasimuige Michael jackson
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Jan 31, 2011 #42 katelephone don't smoke my river mwenzio nimelala( Kassimu ucvute mto wangu)
Babu Lao JF-Expert Member Nov 2, 2010 2,043 179 Jan 31, 2011 #43 Aalim said: unatufungisha tu. Kama umetoka, choka. Click to expand... Duu...
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Jan 31, 2011 #44 ha ha ha ha hii kali sio mchezo..nimebatasam kweli kweli kamonga said: nimekula sapati na chupu Click to expand...
ha ha ha ha hii kali sio mchezo..nimebatasam kweli kweli kamonga said: nimekula sapati na chupu Click to expand...
Omukuru JF-Expert Member Nov 4, 2010 242 39 Feb 1, 2011 #45 Tutaandamana kwa mguu toka Mamanyamala mpaka Bombolangoto (Mwananyamala mpaka Gongolamboto)