Kuwaita wazee wa kazi ni kuwapa sifa wasiyostahili hawa vichwamaji.
Nadhani watakuwa wanawafuatilia wazee wa afrika mashariki kazi ipo kweli wajukuu wanawafanyizia mababu na mabibi.
Kuwaita wazee wa kazi ni kuwapa sifa wasiyostahili hawa vichwamaji.
Wakati mwingine wanafanya kazi nzuri, pale wanapofanya kazi nzuri tuwape sifa na pale wanapofanya vibaya tuwalaani. Angalia hali ya ujambazi imetulia kidogo.
Wakati mwingine wanafanya kazi nzuri, pale wanapofanya kazi nzuri tuwape sifa na pale wanapofanya vibaya tuwalaani. Angalia hali ya ujambazi imetulia kidogo.
Jk nae si awalipe tu yaishe jamani aah tumechoka banaa
Jk nae si awalipe tu yaishe jamani aah tumechoka banaa
taja mojawapo ya kazi nzuri waliyowahi kufanya in the last two years! usitaje kuhusu kulinda mabenki maana hiyo jeshi linalipwa na mabaenki!
Wamepata uhamisho, wanaenda mkoa wa kipolisi wa Tarime. Ni dharura, so mizigo na familia zao vitafuata huko huko baadaye!