Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
hivi lakini kwa nini hawawapi hawa wazee kilicho chao wakamalizie maisha yao na waende bila kinyongo? kwa nini nchi hii ina dhuluma kiasi hiki?
Ninahisi hii pesa ya hawa wazee imeshafisadiwa zamani saaaaana, na inawezekana aliyewafisadi keshakufa zamaaaaani sana.