Ben,
Huyu mzee Slaa akiomba tena kugombea urais 2015 mtampa nafasi?
napenda sana kushindanishwa, na ni muumin wa siasa shindanishi
Wanadai wameona mi naweza kumtoa
napenda sana kushindanishwa, na ni muumin wa siasa shindanishi
kuna baadhi ya viongozi wa cdm wanatembelea marekani zaidi kuliko wanavyotembelea majimbo yao:thinking: