Wazee wa CCM (Shinyanga) wamshukia Dk Slaa

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
14 March 2011
BARAZA la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shinyanga Mjini, limemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibroad Slaa kwa madai kuwa anaudanganya umma wa Watanzania.

Pia, limesema hatua yake ya kumzushia kifo mbele ya mkutano wa hadhara Mkuu wa mkoa Shinyanga, Dk. Yohana Balele, ilikuwa na lengo la kuwachanganya na kuwadhoofisha wananchi.

Baraza hilo la wazee limesema siasa za kuwazushia vifo viongozi wanaohehishimika mbele ya jamii, zimepitwa na wakati na kwamba, ni sawa na siasa za majitaka.

"Tunalaani uzushi wa Dk. Slaa wa kudai kuwa Dk. Balele amefariki wakati siyo kweli, Chadema na viongozi wake wafanye siasa safi na waache siasa chafu," lilisema tamko la wazee hao.

Mbali na kumshukia Dk. Slaa, Baraza hilo pia limempongeza rais Jakaya Kikwete kwa kukemea upandaji holela wa bei za vyakula nchini.

Aidha, limeunga mkono uamuzi wa serikali wa kufuta kodi ya sukari inayotoka nje ya nchi ili kuhakikisha bei inashuka na kutoa nafuu kwa watumiaji.

Pongezi hizo zilitolewa juzi ikiwa ni sehemu ya tamko la kuwapongeza wagombea wa CCM mkoani hapa, waliopata ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana.

Baraza la wazee hao lilisema serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi ili bei za vyakula na bidhaa nyingine muhimu nchini zishuke.

Lilisema kushuka kwa bidhaa hizo kutatoa ahueni kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na uzalishaji mali, tofauti na ilivyo sasa ambapo maisha yameonekana kupanda na kuwafanya watu kutumia muda mwingi kutafuta njia mbadala za kuishi.

Pia, limeshauri serikali kumaliza tatizo la mgawo wa umeme unaoendelea katika maeneo mbalimbali nchini.

"Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika kwa kuwa ndiyo msingi wa uchumi wetu," walisema wazee hao.
 


Monday, 14 March 2011 06:38

"Tunalaani uzushi wa Dk. Slaa wa kudai kuwa Dk. Balele amefariki wakati siyo kweli, Chadema na viongozi wake wafanye siasa safi na waache siasa chafu," lilisema tamko la wazee hao.
Mbali na kumshukia Dk. Slaa, Baraza hilo pia limempongeza rais Jakaya Kikwete kwa kukemea upandaji holela wa bei za vyakula nchini.
Aidha, limeunga mkono uamuzi wa serikali wa kufuta kodi ya sukari inayotoka nje ya nchi ili kuhakikisha bei inashuka na kutoa nafuu kwa watumiaji.
Pongezi hizo zilitolewa juzi ikiwa ni sehemu ya tamko la kuwapongeza wagombea wa CCM mkoani hapa, waliopata ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Baraza la wazee hao lilisema serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi ili bei za vyakula na bidhaa nyingine muhimu nchini zishuke.
Lilisema kushuka kwa bidhaa hizo kutatoa ahueni kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na uzalishaji mali, tofauti na ilivyo sasa ambapo maisha yameonekana kupanda na kuwafanya watu kutumia muda mwingi kutafuta njia mbadala za kuishi.
Pia, limeshauri serikali kumaliza tatizo la mgawo wa umeme unaoendelea katika maeneo mbalimbali nchini.
"Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika kwa kuwa ndiyo msingi wa uchumi wetu," walisema wazee hao.

Nashindwa kuelewa hawa wazee walikuwa wanasema nini na kukemea nini?
  1. Wanampongeza Kikwete kwa kukemea upandaji holela wa bei: Ikiwa Kikwete atakemea kama wapinzani wanavyofanya (ambao hawana serikali), nani atadhibiti. Au vyombo vya dola ni kukamata na kupiga mabomu maandamano ya wapinzani tu? Alitakiwa atuambie hatua gani za wanachukua.
  2. Wanasema serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi ili bei za vyakula na bidhaa nyingine muhimu nchini zishuke: Sasa CDM wanasema nini na wao wanasema nini? Au na hayo yalikuwa maandamano ya CDM chini ya mwavuli wa wazee wa CCM?
  3. Tena wanasema, "Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika kwa kuwa ndiyo msingi wa uchumi wetu,": Kwanza hiyo pia ndio ajenda mojawapo ya maandamano ya CDM. Mbili, Tutatapataje umeme wa uhakika na serikali yao ndio inawakumbatia Dowans? Wazee mmeliwa na CCM yenu.
Kweli CCM wamechanganyikiwa. Wanataka kuonekana wako loyal kwa chama na wakati huohuo wanalalama.
VIVA CDM! VIVA Harakati za ukombozi! VIVA Maandamano ya Ukombozi.
 


Monday, 14 March 2011 06:38



Na Anthony Komanya, Shinyanga
BARAZA la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shinyanga Mjini, limemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibroad Slaa kwa kwa madia kuwa anaudanganya umma wa Watanzania. Pia, limesema hatua yake ya kumzushia kifo mbele ya mkutano wa hadhara Mkuu wa mkoa Shinyanga, Dk. Yohana Balele, ilikuwa na lengo la kuwachanganya na kuwadhoofisha wananchi.
dk.%20willibrod%20slaa.jpg

Baraza hilo la wazee limesema siasa za kuwazushia vifo viongozi wanaohehishimika mbele ya jamii, zimepitwa na wakati na kwamba, ni sawa na siasa za majitaka.
"Tunalaani uzushi wa Dk. Slaa wa kudai kuwa Dk. Balele amefariki wakati siyo kweli, Chadema na viongozi wake wafanye siasa safi na waache siasa chafu," lilisema tamko la wazee hao.
Mbali na kumshukia Dk. Slaa, Baraza hilo pia limempongeza rais Jakaya Kikwete kwa kukemea upandaji holela wa bei za vyakula nchini.
Aidha, limeunga mkono uamuzi wa serikali wa kufuta kodi ya sukari inayotoka nje ya nchi ili kuhakikisha bei inashuka na kutoa nafuu kwa watumiaji.
Pongezi hizo zilitolewa juzi ikiwa ni sehemu ya tamko la kuwapongeza wagombea wa CCM mkoani hapa, waliopata ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Baraza la wazee hao lilisema serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi ili bei za vyakula na bidhaa nyingine muhimu nchini zishuke.
Lilisema kushuka kwa bidhaa hizo kutatoa ahueni kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na uzalishaji mali, tofauti na ilivyo sasa ambapo maisha yameonekana kupanda na kuwafanya watu kutumia muda mwingi kutafuta njia mbadala za kuishi.
Pia, limeshauri serikali kumaliza tatizo la mgawo wa umeme unaoendelea katika maeneo mbalimbali nchini.
"Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika kwa kuwa ndiyo msingi wa uchumi wetu," walisema wazee hao.

Huyu Slaa ni kasisi aliyeasi kama alivyo Ibirisi.

Hivyo lazima watu wawe makini nae sana huyo. Ahsante wazee kuliona hilo.
 
ningependa kupata profiles za hao wanaojiita wazee wa shinyanga kabla ya ku-comment kitu cho chote!
 
Huyu Slaa ni kasisi aliyeasi kama alivyo Ibirisi.

Hivyo lazima watu wawe makini nae sana huyo. Ahsante wazee kuliona hilo.

Acha kuandika kwa font kubwa na kugandamiza..kizuri chajiuza..
 
Wameshapata madai yao ya kustaafu? waache walale hao hawana ticha kwa taifa letu!
 
Huyu Slaa ni kasisi aliyeasi kama alivyo Ibirisi.

Hivyo lazima watu wawe makini nae sana huyo. Ahsante wazee kuliona hilo.
Hata nyani wana wazee wao kwa hiyo sishangai nasikia Wassira pia alikuwepo.
 
Huyu Slaa ni kasisi aliyeasi kama alivyo Ibirisi.

Hivyo lazima watu wawe makini nae sana huyo. Ahsante wazee kuliona hilo.

Chuki Binafsi hazina nafasi, wewe nakushauri usichukuliwe na sera za udini, acha, nafikiri watoto wako pia wanasoma shule hizi ambazo hazina madawati, vitabu,chaki,walimu, vyoo bora na hata majengo bora ya kusomea.
 
Chuki Binafsi hazina nafasi, wewe nakushauri usichukuliwe na sera za udini, acha, nafikiri watoto wako pia wanasoma shule hizi ambazo hazina madawati, vitabu,chaki,walimu, vyoo bora na hata majengo bora ya kusomea.

Kwetu AMANI ni muhimu kuliko lolote lile. Chukulia mfano mdogo tu wa Gongola mboto wakati wa mabomu unaona watu walivyotaharuki.

Sote tuombe Amani itawale nchini na tuzishinde nguvu za shetani kutaka kumwaga damu nchini.
 
Monday, 14 March 2011 06:38



Na Anthony Komanya, Shinyanga
BARAZA la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shinyanga Mjini, limemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibroad Slaa kwa kwa madia kuwa anaudanganya umma wa Watanzania. Pia, limesema hatua yake ya kumzushia kifo mbele ya mkutano wa hadhara Mkuu wa mkoa Shinyanga, Dk. Yohana Balele, ilikuwa na lengo la kuwachanganya na kuwadhoofisha wananchi.
dk.%20willibrod%20slaa.jpg

Baraza hilo la wazee limesema siasa za kuwazushia vifo viongozi wanaohehishimika mbele ya jamii, zimepitwa na wakati na kwamba, ni sawa na siasa za majitaka.
“Tunalaani uzushi wa Dk. Slaa wa kudai kuwa Dk. Balele amefariki wakati siyo kweli, Chadema na viongozi wake wafanye siasa safi na waache siasa chafu,” lilisema tamko la wazee hao.
Mbali na kumshukia Dk. Slaa, Baraza hilo pia limempongeza rais Jakaya Kikwete kwa kukemea upandaji holela wa bei za vyakula nchini.
Aidha, limeunga mkono uamuzi wa serikali wa kufuta kodi ya sukari inayotoka nje ya nchi ili kuhakikisha bei inashuka na kutoa nafuu kwa watumiaji.
Pongezi hizo zilitolewa juzi ikiwa ni sehemu ya tamko la kuwapongeza wagombea wa CCM mkoani hapa, waliopata ushindi kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Baraza la wazee hao lilisema serikali haina budi kuchukua hatua za makusudi ili bei za vyakula na bidhaa nyingine muhimu nchini zishuke.
Lilisema kushuka kwa bidhaa hizo kutatoa ahueni kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa na uzalishaji mali, tofauti na ilivyo sasa ambapo maisha yameonekana kupanda na kuwafanya watu kutumia muda mwingi kutafuta njia mbadala za kuishi.
Pia, limeshauri serikali kumaliza tatizo la mgawo wa umeme unaoendelea katika maeneo mbalimbali nchini.
“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika kwa kuwa ndiyo msingi wa uchumi wetu,” walisema wazee hao.

Hizi Ndio busara za wazee wa kwetu kweli?
 
Kwetu AMANI ni muhimu kuliko lolote lile. Chukulia mfano mdogo tu wa Gongola mboto wakati wa mabomu unaona watu walivyotaharuki.

Sote tuombe Amani itawale nchini na tuzishinde nguvu za shetani kutaka kumwaga damu nchini.


Unaposema kwetu unamuwakilisha nani? Kwa taarifa yako Tanzania kuna utulivu tu hakuna amani, watu wenye njaa na waliokata tamaa unapowaeleza habari ya amani unachekesha sana. na watu kama nyinyi lazima ujuwe tu ipo siku utakufa tu, na utakwenda kujibu mbele ya muumba wako, hii kazi ya kichangudoa unayoifanya hapa kuusaliti umma.
 
Back
Top Bottom