Unataka akaposti wapi?Mh,Umekosea njia,
Hii kitu hapa si mahala pake,
Find out where to post such picture.
Mkuu hii ni meli kubwa!!hii meli au pantoni?
Ya ukweli haijachakachuliwa!!Hiyo kitu originale.....
Unataka kuanzisha bucha?naomba contact zake,harakaaaaa,unanichelewesha bwana!