Wakati WATANZANIA wanazidi kufunguka na kujitafakari, sasa wazee wa Bagamoyo wameona nuru ya CHADEMA na kuikaribia huku kukiwa na kundi kubwa la vijana hasa madriver boda boda ambao sasa wanasema mikwanja ya CCM tunalamba!!!!!!!, Kura mtosoooo wa kufa mtu!!!!!!!!.
Mkutano wa CHADEMA ambao ulifanikiwa kwa 100% ktk kukusanya wakaz wa bagamoyo bila kujal umri wao wala kazi zao hapo juzi. Katka mtuktano huo, watu walifunga barabara na mitaa ya Magomen sokon kiasi cha kutopitika kabisa utadhani ni siku ya gulio pale top top B/moyo. KWa kweli ulikuwa ni mkutano wa kihistoria kwa CHADEMA pale B/moyo. Wakati wa michango ya kumchangia mgombea Bwana SETEBE TIMIZA SETEBE, mtoto mmoja bila kulemba alichangia CHUNGWA ambalo badae liliuzwa kwa Tsh. 5,000/=.
Mara tu baada ya mkutano wananchi walitembea umbali wa kilometer 5 wakielekea maeneo ya eagle ambakon mzee mmoja mwenye kuona dira ya Tanzania ya Watanzania, bila kukosea alitundika bendera ya CHADEMA na ile ya magamba kuishusha. Kwa kweli kwa mkutano wa juzi, wakaz wa bagamoyo wamefunguka hasa kuunganisha mkutano na matembezi yaliyofuata ambavyo vyote kwa pamoja vilifanya vimekuwa mwiba mchungu.Big up CHADEMA!!!!!!!!!!!, Big up SETEBE!!! .Mwsho, Naomba msaada kuupload photo hapa JF, ujionee mwenyewe!!!!!.
Kwa sasa, spidi ya CCM kujimaliza imeshika kasi mpaka Bagamoyo. CCM kwishney!!!!!!!!!!!!!!.
Mkutano wa CHADEMA ambao ulifanikiwa kwa 100% ktk kukusanya wakaz wa bagamoyo bila kujal umri wao wala kazi zao hapo juzi. Katka mtuktano huo, watu walifunga barabara na mitaa ya Magomen sokon kiasi cha kutopitika kabisa utadhani ni siku ya gulio pale top top B/moyo. KWa kweli ulikuwa ni mkutano wa kihistoria kwa CHADEMA pale B/moyo. Wakati wa michango ya kumchangia mgombea Bwana SETEBE TIMIZA SETEBE, mtoto mmoja bila kulemba alichangia CHUNGWA ambalo badae liliuzwa kwa Tsh. 5,000/=.
Mara tu baada ya mkutano wananchi walitembea umbali wa kilometer 5 wakielekea maeneo ya eagle ambakon mzee mmoja mwenye kuona dira ya Tanzania ya Watanzania, bila kukosea alitundika bendera ya CHADEMA na ile ya magamba kuishusha. Kwa kweli kwa mkutano wa juzi, wakaz wa bagamoyo wamefunguka hasa kuunganisha mkutano na matembezi yaliyofuata ambavyo vyote kwa pamoja vilifanya vimekuwa mwiba mchungu.Big up CHADEMA!!!!!!!!!!!, Big up SETEBE!!! .Mwsho, Naomba msaada kuupload photo hapa JF, ujionee mwenyewe!!!!!.
Kwa sasa, spidi ya CCM kujimaliza imeshika kasi mpaka Bagamoyo. CCM kwishney!!!!!!!!!!!!!!.