Wazee Kumi na Saba (17) Waliodai Uhuru wa Tanganyika

Wekeni udini pembeni utanganyika mbele na ukanda nyuma . Walipigania uhuru au hawakupigania uhuru yote ni historia basi na tuitumie vizuri kwa wale waliopigania uhuru tuwaenzi kama tunavyowaenzi leo hii wale wote wanaodhubutu kusimama na kufichua maovu ya watawala wetu na kwa wale ambao mnahisi hawakufanya lololte bali wapotoshaji na tuwachukie kam tunavyowachuki mafisadi bila kujali dini kabila au chama nawasilisha utanganyika mbele kibagarashea rozari aurangi ya chama nyuma
 
Hapo ndipo nnapompendea Kikwete. Nyerere alisahau hata Abdul Wahid Sykes alikuwa na wadhifa upi kwenye TAA.

Mashavu yako! Yani wewe kwa habari za uchonganishi haujambo. KWELI WEWE NDIE fiazaFOX orijinal
 
Wekeni udini pembeni utanganyika mbele na ukanda nyuma . Walipigania uhuru au hawakupigania uhuru yote ni historia basi na tuitumie vizuri kwa wale waliopigania uhuru tuwaenzi kama tunavyowaenzi leo hii wale wote wanaodhubutu kusimama na kufichua maovu ya watawala wetu na kwa wale ambao mnahisi hawakufanya lololte bali wapotoshaji na tuwachukie kam tunavyowachuki mafisadi bila kujali dini kabila au chama nawasilisha utanganyika mbele kibagarashea rozari aurangi ya chama nyuma
Hawawezi kutazama kitu chochote bila Udini... yaani ulimbukeni wa mtu mweusi una asili mbaya sana ya utumwa. Na ndio maana hata wapambanaji wa leo ktk ufisadi wanatazamwa kwanza dini zao kisha hoja zinafuata kwa sababu alosema ni mfuasi wa dini gani.. Na hii imewapa dirisha viongozi wa dini nao kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu sasa hivi hata sala huko makanisani na miskitini ni siasa tupu za kajamba nani! wakitumia hadithi na aya za vitabu kuhalalisha Udini wao.
 
Abdul Wahid Sykes ndiye alimpokea Nyerere akamkaribisha nyumbani kwao alipotokea Pugu.

Inawezekana kabisa kuwa kawataja 17 kama unavyosema, wala sina ubishi kwa hilo, nnachosema mimi, "Kwa mara ya kwanza kwenye sherehe za Uhuru Abdul Wahid Sykes amekumbukwa Rasmi. Sijawahi kusikia kabla ya sherehe hizi za Uhuru.

avoid the ignorant." (Qur'an 7:199)
 
Sii kweli mbona kuna majina kibao ambayo hayapo kwa Mohammed Said na sidhani kama kweli JK kasema ni majina hayo 17 tu maana mwandishi wa mada hii kachagua ya kuandika. Ni mjinga tu hataelewa lengo la mada hii..

Ndugu Mukandara ni bora useme jambo ukiwa na uhakika na mimi nina uhakika hukusikia wakati jk anataja hayo majina, mimi nilisikia, jumla ni watu 17, 14 marehemu na 3 ni hai hadi leo, na alisisitiza kuwa bila hawa watu 17 pengine tusingepata uhuru wakati huo! na kwa ushahidi zaidi katika dhifa ya jioni hii hao wazee 17 wametunukiwa nishani husika(wengine kwa niaba), jk hakutaja zaidi ya majina hayo 17 na wala hakusema kuna wengine zaidi ya hao,period!
 
Nilikua nasikiliza Radio Kilimanjaro kuna mama anamiaka 90 alikua mmoja ya watu waliyo kuwa msatari wambele kupigania Uhuru but anaongea kwa uchungu jinsi viongozi wa sasa walivyo watenga ata pesa ya kujikimu ana na anasema kunakipindi nyerere alimuandikia barua DC wa Moshi kwamba wasije ku msaau uyo mama kwani bila yeye na wenzake asinge weza fanikiwa kupa uhuru, sasa kinachoshangaza kwy iyo list Chef Mariyale ayupo uyo Mama Aziza ayupo sasa ni wangu walisaidia kupigania Uhuru Basi?
 
Ni vizuri ukajuwa kuwa sina namba ya Tz. Natumia namba yangu ya Oman kwa kitu kinachoitwa Roaming. Hivyo inakuwa si rahisi kwa mtu wa Tz kuweza kunipigia kwani inakuwa kama unapiga simu za kimataifa japo mimi nikikupigia kutoka hapa ninakuwa napiga sawa na local.

Hiyo ni namba ya Kijana wangu ambaye kila pahala nipo naye ambaye kwa urahisi unaweza kunipata kwa local number.

Elimu yangu ni PhD. (Bcom- UDSM Tz), MBA (Carleton univ- Canada) na PhD (Sofia Univ -Japan).

Jina langu ni Dr Hamza Yousuf Al- Naamani. Je una la ziada?


kwenye mijadala hasa ya KIDINI unadhalilisha sana USOMI wako,hebu jaribu kujitambua. MaSTERS and PhD ???!!!
 
hao ni wasisi wa TANU. Ila aliotaja ni wale waanzilishi wa TAA ambao wengi wao walikuwa ni askari wa KAR. na ni wanaume watupu.

Bibi Titi na akina kawawa walitoka nje ya TAA. Kawawa alikuwa mcheza sinema ya Muhogo mchungu na katibu wa chama cha wafanyakazi.

lakin leo nilistahajabu kidogo pale mwisho kilikuja kikundi cha muziki cha waimbaji wa nyimbo za Injili na kiliimba nyimbo maalum ya Uhuru. Je kwanini kikundi cha waimbaji wa Nyimbo za injili wakiongozwa na Mbunge na mzee makasi? Je akina Sugu, Juma nature na Mwanafalsafa hawakuweza kuimba au kujichanganya nao? au waliamua kuwatenga.

Nawasifu lakini wimbo ulikuwa mzuri na alitajwa Mungu tu bila wengine kutajwa.


kWE RED DR Umeanza eeh,Mungu tu wengine kina nani au YESU
 
Mkuu nimeandika kama nilivyokusoma na ukitaka kujua zaidi kifunze wewe mwenyewe na sio kusubiri hotuba ya JK maana huyu huyu ndiye mnamwita mdini iweje leo Udini wake umekwisha baada ya kuwataja majina ya wazee walioleta Uhuru. Yapo majina mengi sana na toka pande tofauti wengine hawana hata dini. Kwa hiyo mada yako ina Udini sawa kabisa na ile ya Mohammed Said, hakuna tofauti isipokuwa ni jibu la watu walifungiwa ktk kabati la Udini..

mkuu sikutegemea kama una uelewa finyu kiasi hiki! kwani kwa jk kutaja majina ya hao waasisi wa uhuru kuna uhusiano gani na yeye kuwa au kutokuwa mdini!!? unashangaza sana kwa jinsi unavyopambanua mambo, this is completely irrelevant! hoja hapa ni kwamba kuna historia ya kuchakachua ya mohamed said kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika LAKINI leo jk kamuumbua huyo mzushi mohamed said pamoja na vikaragosi wake wa humu jf na wanajijua kuwa wameumbuka ila wanataka kubadili kibao na sisi watu wazima tumewashtukia! walikuwa wanashupaza shingo zao na mapovu kuwatoka mdomoni kuwa uhuru wa Tanganyika tuliletewa na watu wa kariakoo/gerezani na waislam tu! hoja ya jk haikuwa na lengo la kuondoa udini kama unavyodhani bali automatically imewakata ngebe wale vizabizabina wa humu jf waliokuwa wameteka muktadha mzima wa uhuru wa Tanganyika kwa kuingiza udini!
 
Ndugu Mukandara ni bora useme jambo ukiwa na uhakika na mimi nina uhakika hukusikia wakati jk anataja hayo majina, mimi nilisikia, jumla ni watu 17, 14 marehemu na 3 ni hai hadi leo, na alisisitiza kuwa bila hawa watu 17 pengine tusingepata uhuru wakati huo! na kwa ushahidi zaidi katika dhifa ya jioni hii hao wazee 17 wametunukiwa nishani husika(wengine kwa niaba), jk hakutaja zaidi ya majina hayo 17 na wala hakusema kuna wengine zaidi ya hao,period!
Ndio nawauliza huu ndio ukweli mnaoukubali?..Katika akili zako unafikiri Mwapachu hakuwa ktk hesabu hiyo, Denis Phombea, Kambona, Steven Mhando yaani majina makubwa ni mengi ambayo JK hakuyataja na sielewi sababu ya kutoyataja.

TANU ilikuwa formed na makundi 24 ya kijamii toka Tanganyika yote mwaka 1954, hivyo Uhuru wa mwaka 1961 hauwezi kuwasahau watu wote waliokuwa viongozi ngazi kuu ya chama toka mwaka 1954. Leo wakachaguliwa majina ya baadhi ya watu ambao walikuwepo eti enzi za TAA na hata hivyo wengine kati yao hawakuwa washiriki wakubwa zaidi ya wajumbe.. Na kama mnataka tuizungumzie TAA kabla ya TANU, Mwapachu yuko wapi? na ninewahi kuuliza hapa Cecil Matola yuko wapi ktk historia ikiwa yeye ndiye alikuwa RAIS wa kwanza wa chama hicho..

Kwa hiyo mjadala huu unajibu madai ya Mohammed Said na kama kweli JK kasema bila hawa watu Tanganyika isingepata Uhuru wake basi nadhani hata yeye kadanganywa maana sii mara ya kwanza JK kudanganywa - Kuna mkono wa mtu.
 
Ndio nawauliza huu ndio ukweli mnaoukubali?..Katika akili zako unafikiri Mwapachu hakuwa ktk hesabu hiyo, Denis Phombea, Kambona, Steven Mhando yaani majina makubwa ni mengi ambayo JK hakuyataja na sielewi sababu ya kutoyataja.

TANU ilikuwa formed na makundi 24 ya kijamii toka Tanganyika yote mwaka 1954, hivyo Uhuru wa mwaka 1961 hauwezi kuwasahau watu wote waliokuwa viongozi ngazi kuu ya chama toka mwaka 1954. Leo wakachaguliwa majina ya baadhi ya watu ambao walikuwepo eti enzi za TAA na hata hivyo wengine kati yao hawakuwa washiriki wakubwa zaidi ya wajumbe.. Na kama mnataka tuizungumzie TAA kabla ya TANU, Mwapachu yuko wapi? na ninewahi kuuliza hapa Cecil Matola yuko wapi ktk historia ikiwa yeye ndiye alikuwa RAIS wa kwanza wa chama hicho..

Kwa hiyo mjadala huu unajibu madai ya Mohammed Said na kama kweli JK kasema bila hawa watu Tanganyika isingepata Uhuru wake basi nadhani hata yeye kadanganywa maana sii mara ya kwanza JK kudanganywa - Kuna mkono wa mtu.


HAPO KWENYE NYEKUNDU hongera kwa kutotaka kumung'unya maneno.Hata kwa fikra ya kawaida haiwezekani kuwa watu 17 tu ndo walikuwa vinara wa UHURU,vitabu vya historia vya wazungu vina idadi ya kutosha ya watanganyika waliokuwa wakiwasumbua kutaka uhuru...
 
mkuu sikutegemea kama una uelewa finyu kiasi hiki! kwani kwa jk kutaja majina ya hao waasisi wa uhuru kuna uhusiano gani na yeye kuwa au kutokuwa mdini!!? unashangaza sana kwa jinsi unavyopambanua mambo, this is completely irrelevant! hoja hapa ni kwamba kuna historia ya kuchakachua ya mohamed said kuhusu historia ya uhuru wa Tanganyika LAKINI leo jk kamuumbua huyo mzushi mohamed said pamoja na vikaragosi wake wa humu jf na wanajijua kuwa wameumbuka ila wanataka kubadili kibao na sisi watu wazima tumewashtukia! walikuwa wanashupaza shingo zao na mapovu kuwatoka mdomoni kuwa uhuru wa Tanganyika tuliletewa na watu wa kariakoo/gerezani na waislam tu! hoja ya jk haikuwa na lengo la kuondoa udini kama unavyodhani bali automatically imewakata ngebe wale vizabizabina wa humu jf waliokuwa wameteka muktadha mzima wa uhuru wa Tanganyika kwa kuingiza udini!
Hata majina aloyasema JK sii ya kweli ndio walikuwa waasisi wa chama ama UHuru wetu yapo majina yamewekwa tu wakiwa wajumbe wakaachwa watu waliofanya kazi kubwa na walikuwa na madaraka makubwa ndani ya chama. Chuma Chakavu JK sio mdini ila mdini ni wewe mabye ulitegemea jibu kama hili kuondoa dukuduku lako ktk historia ya Uhuru. Mimi sijamwita JK mdini hata siku moja isipokuwa kama kweli yeye mdini asingeweza kuyataja majina haya maana mdini kama Mohammed Said hawezi..

Sasa sababu gani JK kawataja hawa sielewi maana kisha sema mengi ambayo tumefanya utafiti tumegundua haikuwa kweli..Kwa nini umuamini leo JK kwa kutaja majina haya na akawaacha watu unaowafahamu hata wewe kama kina Kawawa na Kambona? Hata hili umeshindwa kuuliza isipokuwa kuamini na kutoa sifa kwa JK kwa sababu tu ametoa jibu ulipendalo kwa Mohammed Said?... mnnnnh!. Hotuba huandikwa na watu na sielewi aloandika hotuba hii alikuwa na lengo gani.
 
FF na genge lake wameamua kulala mbele. Muda huu nina uhakika hakuna cha swalat magharib au insha wangepata visingizio. Mrudipo, tafadhali jibuni hoja hizi.
 


you are missing a point here mate!....

tatizo kwa nini kila kitu nyerere.. ?? itakuja kizazi kitakuja kujua nyerere ndiye aliyefanya mambo yote kumbe alipewa jukumu la kuweka saini "according to u" kwanini hawa wengine waliotajwa hapo juu hawazungumziwi ama wanazungumziwa kidogo sana katika harakati za uhuru...! Leo hii kila kitu nyerere... nilisikia campus ya mlimani pia yataka iitwe nyerere! inakera!
Shida yenu ni kwamba ninyi ni wavivu wa kusoma. Tangu nikiwa shule ya sekondari nilisoma historia ya Tanganyika, kitabu alichoandika Judith Listowell "The Making of Tanganyika." Wote hao waliotajwa leo wamo humo. Na Mohamed Said amenukulu sehemu nyingi tu za kitabu hicho bila kutoa attribution. Sasa lipi la ajabu?
 
Hili swali nimelijibu huko juu, Sykes ana umuhimu kwani Ndio muasisi wa TAA kabla Nyerere hajaanza kujihusisha na siasa, ni Muasisi wa TANU na ndiye aliyetia jina la TANU na ndiye alimpokea Nyerere akamuweka nyumbani kwake na mengine mengi sana, Mohamed Said kaandika historia yake. Ni furaha kubwa kuona kuwa Mohamed Said hakuleta "porojo" kama wengi humu JF waliokuwa wanataka ieleweke, mpaka Rais wa JMT kamtaja rasmi kwenye kilele cha sherehe ya miaka 50, tunafarikika kuona kuwa kazi ya Mohamed Said haikupotea bure.
Bibie,
Vipi rais wenu kamtaja pia Mohamed Said kwa mchango wake?
 
Kama mods wameiondoa kwa busara yao wameona haina mantiki.

Ndugu yangu; kujibu watu dizaini ya FF sometimes ni kupoteza muda. Huyu anao uwezo wa kubisha kwamba Jua linaanziaga magharibi na sio mashariki. Kwa kupindua mambo hawa hawajambo.
 
Ndio nawauliza huu ndio ukweli mnaoukubali?..Katika akili zako unafikiri Mwapachu hakuwa ktk hesabu hiyo, Denis Phombea, Kambona, Steven Mhando yaani majina makubwa ni mengi ambayo JK hakuyataja na sielewi sababu ya kutoyataja.

TANU ilikuwa formed na makundi 24 ya kijamii toka Tanganyika yote mwaka 1954, hivyo Uhuru wa mwaka 1961 hauwezi kuwasahau watu wote waliokuwa viongozi ngazi kuu ya chama toka mwaka 1954. Leo wakachaguliwa majina ya baadhi ya watu ambao walikuwepo eti enzi za TAA na hata hivyo wengine kati yao hawakuwa washiriki wakubwa zaidi ya wajumbe.. Na kama mnataka tuizungumzie TAA kabla ya TANU, Mwapachu yuko wapi? na ninewahi kuuliza hapa Cecil Matola yuko wapi ktk historia ikiwa yeye ndiye alikuwa RAIS wa kwanza wa chama hicho..

Kwa hiyo mjadala huu unajibu madai ya Mohammed Said na kama kweli JK kasema bila hawa watu Tanganyika isingepata Uhuru wake basi nadhani hata yeye kadanganywa maana sii mara ya kwanza JK kudanganywa - Kuna mkono wa mtu.

samora machel ni mwanamapinduzi wa msumbiji,fidel castro ni mwanamapinduzi wa cuba, hivi kwa akili yako unadhani ni wao pekee ndo waliohusika katika ukombozi wa nchi zao husika? au wao walikuwa ni vinara?
Mathalani ukitaka kuandika historia ya uhuru wa msumbiji kwa mlolongo mreeeefu unaotaka wewe basi itabidi Tanzania na Nyerere wawepo kwenye historia hiyo ya uhuru wa msumbiji kwa maana wapigania uhuru wao walipewa hifadhi hapa TZ na Nyerere, na pia majeshi yetu yalisaidia sana, na kwa kuwa Nyerere nae alisaidiana na watu mbalimbali wa hapa TZ katika kuwasaidia watu wa msumbiji basi nao itabidi waingie kwenye list ya uhuru wa msumbiji! hivi hiyo list itakuwaje mwanangu!!? Hivi unadhani ukienda msumbiji ukiuliza watu waliopigania uhuru wao watamtaja Nyerere!!? lazima kuwe na limit ya kutaja wahusika wa jambo fulani kutokana na uzito wa role waliyoplay licha ya kuwa wapo wengine walioplay role zingine!
 
Back
Top Bottom