Wazee Kumi na Saba (17) Waliodai Uhuru wa Tanganyika

Hili swali nimelijibu huko juu, Sykes ana umuhimu kwani Ndio muasisi wa TAA kabla Nyerere hajaanza kujihusisha na siasa, ni Muasisi wa TANU na ndiye aliyetia jina la TANU na ndiye alimpokea Nyerere akamuweka nyumbani kwake na mengine mengi sana, Mohamed Said kaandika historia yake. Ni furaha kubwa kuona kuwa Mohamed Said hakuleta "porojo" kama wengi humu JF waliokuwa wanataka ieleweke, mpaka Rais wa JMT kamtaja rasmi kwenye kilele cha sherehe ya miaka 50, tunafarikika kuona kuwa kazi ya Mohamed Said haikupotea bure.

Inaonekana huyu Sykes unamkubali zaidi kwasababu alimkaribisha Nyerere nyumbani kwake na pia alikuwa muasisi wa TANU (Japo ni hoja nzito pia). Kama kuna hoja nyingine naomba uniambie ili nijue ni uhodari gani zaidi aliouonesha katika harakati za kudai uhuru wa Tanganyika mpaka ukamfurahia zaidi ya hao wengine.
 
You are absolutely right! Lakini ni Nyerere aliyesaini na kukabidhiwa rasmi hati za uhuru wa nchi kutoka kwa Malkia na akawa rais wa kwanza wa Tanganyika Huru. Penda usipende, kubali usikubali hiyo ndio historia and it will never change forever.

jinsi hawa jamaa walivyo hodari wa kutunga historia wanaweza wakaibuka na makala ya kusema Nyerere hakuwa rais wa kwanza wa Tanganyika huru!
 
?

Dudus, salute mkuu, nimependa hoja zako kwenye hili jambo la wazee wetu.
Naona ff kawasahau wazee wetu, kaibuka na 'mzee wetu'.
 
Sasa mimi nachanganyikiwa kabisa-Tewa said Tewa ndio nani??? maana naona jina linachanganywa sana
Hii ndio hasara ya kutokuwa na kumbukumbu ya waasisi wa Uhuru wetu na naona hapa Ubishi umekomaa na yote haya yanatokana na makosa makubwa yalofanywa na serikali kutoiweka siku ya MASHUJAA kama siku muhimu sana ktk taifa letu na hasa ktk vipindi vya TV na redio ambako wanatakiwa kuzungumziwa sana na mara kwa mara hasa wakati kama huu. Jamani hata majina hamyajui isipokuwa kwa hotuba ya JK na bado mnakosea kuyaandika?

Leo JK kawataja baadhi tu ya wahusika kwa sababu TAA hadi kufikia TANU ilikuwa na wajumbe wengi sana walioifanya kazi kubwa sana ktk kuutafuta Uhuru wetu. Na inasikitisha zaidi napoona watu mnazungumzia watu kwa dini zao kama kigezo cha Uzalendo wao. Hii ni hatari sana kwa taifa changa kama la Tanzania na nafikiri fikra hizi zinaundiwa msingi wa mfarakano baina ya Waislaam na Wakristu...

Na kwa bahati mbaya nyote Waislaam na Wakristu mnaukumbatia Udini kwa sababu siwezi kuona sababu ya kutumia dini ktk siasa ikiwa hawa wote waliweza kushirikiana. Kama AbdulWahid Sykes angetumia Uislaam asingekuwa na kina Nyerere na vile vile Nyerere asingeweza kukubali kuungana na kina Sykes lakini tazama kizazi hiki kilivyogawanyika kwa fikra za Udini wao...Nawasikitikia sana Wadanganyika kwa kujazwa Ujinga na hakika Kikombe cha babu Loliondo kilikuwa kipimo halisi cha Ujinga na Ulimbukeni wa Mdanganyika..La kujiuliza nani hakwenda wala kuamini?
 
Hii ndio hasara ya kutokuwa na kumbukumbu ya waasisi wa Uhuru wetu na naona hapa Ubishi umekomaa na yote haya yanatokana na makosa makubwa yalofanywa na serikali kutoiweka siku ya MASHUJAA kama siku muhimu sana ktk taifa letu na hasa ktk vipindi vya TV na redio ambako wanatakiwa kuzungumziwa sana na mara kwa mara hasa wakati kama huu. Jamani hata majina hamyajui isipokuwa kwa hotuba ya JK na bado mnakosea kuyaandika?

Leo JK kawataja baadhi tu ya wahusika kwa sababu TAA hadi kufikia TANU ilikuwa na wajumbe wengi sana walioifanya kazi kubwa sana ktk kuutafuta Uhuru wetu. Na inasikitisha zaidi napoona watu mnazungumzia watu kwa dini zao kama kigezo cha Uzalendo wao. Hii ni hatari sana kwa taifa changa kama la Tanzania na nafikiri fikra hizi zinaundiwa msingi wa mfarakano baina ya Waislaam na Wakristu...

Na kwa bahati mbaya nyote Waislaam na Wakristu mnaukumbatia Udini kwa sababu siwezi kuona sababu ya kutumia dini ktk siasa ikiwa hawa wote waliweza kushirikiana. Kama AbdulWahid Sykes angetumia Uislaam asingekuwa na kina Nyerere na vile vile Nyerere asingeweza kukubali kuungana na kina Sykes lakini tazama kizazi hiki kilivyogawanyika kwa fikra za Udini wao...Nawasikitikia sana Wadanganyika kwa kujazwa Ujinga na hakika Kikombe cha babu Loliondo kilikuwa kipimo halisi cha Ujinga na Ulimbukeni wa Mdanganyika..La kujiuliza nani hakwenda wala kuamini?

jk mwenyewe kapata data kwenye makala za uhuru za mohamed said. kikwete bana! masihara kwelikweli.
 
Ni vizuri ukajuwa kuwa sina namba ya Tz. Natumia namba yangu ya Oman kwa kitu kinachoitwa Roaming. Hivyo inakuwa si rahisi kwa mtu wa Tz kuweza kunipigia kwani inakuwa kama unapiga simu za kimataifa japo mimi nikikupigia kutoka hapa ninakuwa napiga sawa na local.

Hiyo ni namba ya Kijana wangu ambaye kila pahala nipo naye ambaye kwa urahisi unaweza kunipata kwa local number.

Elimu yangu ni PhD. (Bcom- UDSM Tz), MBA (Carleton univ- Canada) na PhD (Sofia Univ -Japan).

Jina langu ni Dr Hamza Yousuf Al- Naamani. Je una la ziada?


La ziada ni kwamba punguza UDINI..utakutesa sana!!
 
jk mwenyewe kapata data kwenye makala za uhuru za mohamed said. kikwete bana! masihara kwelikweli.
Sii kweli mbona kuna majina kibao ambayo hayapo kwa Mohammed Said na sidhani kama kweli JK kasema ni majina hayo 17 tu maana mwandishi wa mada hii kachagua ya kuandika. Ni mjinga tu hataelewa lengo la mada hii..
 
Sii kweli mbona kuna majina kibao ambayo hayapo kwa Mohammed Said na sidhani kama kweli JK kasema ni majina hayo 17 tu maana mwandishi wa mada hii kachagua ya kuandika. Ni mjinga tu hataelewa lengo la mada hii..
Mkuu naomba unitoe ujinga.....lengo la mada hii ni nini?
 
Kuna Upotoshaji mkubwa sana ktk maelezo yote haya. Mwapachu ndiye alowatambulisha wanaTANU kuhusu Nyerere, Mwapachu akishirikiana na AbdulWahid Sykes ndiye walokichukua chama cha TAA na kukigeuza kuwa chama cha kisiasa toka kwa Kreist..

Mwana akimpindua baba yake lakini mbona jina la Mwapachu halipo hapa, kina Fundikira, Bomani na wazee wengineo majina yao mbona hatuyaoni?...Hivi kwqeli JK kasema ni watu 17 tu...ama ndio Historia ya Uhuru wetu unaendelea kupotoshwa..
 
Hapo ndipo nnapompendea Kikwete. Nyerere alisahau hata Abdul Wahid Sykes alikuwa na wadhifa upi kwenye TAA.

Yani ata waliokuwa wanampigia brush viatu vyake Nyerere nao mnataka waingie kwenye historia yetu,eti kisa majina yao ya kidini!?

Atuwezi kukubali huu utoto,wataishia kutajwa kwenye majukwaa tu...atuwezi kubali ata siku moja hawa watu wachafue historia yetu ya kupendeza.
 
Sii kweli mbona kuna majina kibao ambayo hayapo kwa Mohammed Said na sidhani kama kweli JK kasema ni majina hayo 17 tu maana mwandishi wa mada hii kachagua ya kuandika. Ni mjinga tu hataelewa lengo la mada hii..

Mkuu Mkandara heshima. Hapo kwenye red; tuko pamoja Mkuu, ni kweli japo Mohamed Said kwenye makala zake anadai "kufanya utafiti" leo kupitia kwa Mh. Rais tumefahamu jinsi "wenzetu" walivyo na MIKAKATI MIZITO YA KUBADILI HISTORIA YA TAIFA LETU. Sijui kwa faida ya nani. Daima neno hili husimama - Ulimi wa Uongo ni wa Kitambo lakini KWELI husimama milele - na leo yametimia.

Hapo kwenye
green; Kama unayo majina mengine tofauti na hayo aliyotaja Mh. Rais, tuwekee humu Mkuu. Tusiandikie mate.

Hapo kwenye
navy; hebu tufafanulie Mkuu wangu jinsi "ulivyofunuliwa" lengo la mada hii. Nijuavyo mimi lengo ni "KUWEKA HISTORIA VIZURI". Kama ya Zanzibar ilichakachuliwa kuhusu nani hasa alikuwa Kiongozi wa Mapinduzi, itashindikana vipi ya Tanganyika.
 
Kuna Upotoshaji mkubwa sana ktk maelezo yote haya. Mwapachu ndiye alowatambulisha wanaTANU kuhusu Nyerere, Mwapachu akishirikiana na AbdulWahid Sykes ndiye walokichukua chama cha TAA na kukigeuza kuwa chama cha kisiasa toka kwa Kreist..Mwana akimpindua baba yake lakini mbona jina la Mwapachu halipo hapa, kina Fundikira, Bomani na wazee wengineo majina yao mbona hatuyaoni?...Hivi kwqeli JK kasema ni watu 17 tu...ama ndio Historia ya Uhuru wetu unaendelea kupotoshwa..
The list is not exhaustive...nadhani kwenye sherehe zijazo za uhuru hiyo list itapanuka zaidi..!
 
Mkuu Mkandara heshima. Hapo kwenye red; tuko pamoja Mkuu, ni kweli japo Mohamed Said kwenye makala zake anadai "kufanya utafiti" leo kupitia kwa Mh. Rais tumefahamu jinsi "wenzetu" walivyo na MIKAKATI MIZITO YA KUBADILI HISTORIA YA TAIFA LETU. Sijui kwa faida ya nani. Daima neno hili husimama - Ulimi wa Uongo ni wa Kitambo lakini KWELI husimama milele - na leo yametimia.

Hapo kwenye
green; Kama unayo majina mengine tofauti na hayo aliyotaja Mh. Rais, tuwekee humu Mkuu. Tusiandikie mate.

Hapo kwenye
navy; hebu tufafanulie Mkuu wangu jinsi "ulivyofunuliwa" lengo la mada hii. Nijuavyo mimi lengo ni "KUWEKA HISTORIA VIZURI". Kama ya Zanzibar ilichakachuliwa kuhusu nani hasa alikuwa Kiongozi wa Mapinduzi, itashindikana vipi ya Tanganyika.
Mkuu nimeandika kama nilivyokusoma na ukitaka kujua zaidi kifunze wewe mwenyewe na sio kusubiri hotuba ya JK maana huyu huyu ndiye mnamwita mdini iweje leo Udini wake umekwisha baada ya kuwataja majina ya wazee walioleta Uhuru. Yapo majina mengi sana na toka pande tofauti wengine hawana hata dini. Kwa hiyo mada yako ina Udini sawa kabisa na ile ya Mohammed Said, hakuna tofauti isipokuwa ni jibu la watu walifungiwa ktk kabati la Udini..
 
Katika hotuba inayoendelea sasa hivi Uwanja wa Uhuru, katika kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru, Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewataja watu 14 Muhimu ambao amesema "bila ya wao leo hii tusingekuwa tunasherehekea Uhuru, labda sisi ndio tungekuwa tunadai Uhuru". Kwa mara ya kwanza nasikia Abdul Wahid Sykes akikumbukwa rasmi kwenye sherehe za Uhuru kwa mchango wake.

Ahsante Kikwete.

Utakufa vibaya wewe mwanamke kwa kupindisha ukweli.
 
Haiwezekani kuwa walioshiriki ni 17 tu! llabda wanaowakumbuka ndio hao. Tunashukuru sana na mwenyezi mungu awabariki.
 
Haiwezekani kuwa walioshiriki ni 17 tu! llabda wanaowakumbuka ndio hao. Tunashukuru sana na mwenyezi mungu awabariki.

Mkuu umesomeka. Kimsingi, hao 17 ndio hasa waliokuwa na association/club yao ikiitwa TAA wakati huo na kuibadili kuwa chama cha siasa - TANU hapo 07th July 1954 na harakati za kudai uhuru kuanza rasmi kisiasa kupitia hiyo TANU.

Of course maelfu kwa maelfu ya wa-Tanganyika wengine walishiriki kwa namna moja au nyingine lakini waasisi hasa ndio hao. Tatizo kuna wapuuzi fulani humu wanataka kutuaminisha kwamba ni familia fulani iliyokuwa Kariakoo Gerezani ndio ati walioasisi harkati hizi. Historia ni lazima iwekwe vizuri kwa faida ya vizazi vijavyo.
 
Ni vizuri ukajuwa kuwa sina namba ya Tz. Natumia namba yangu ya Oman kwa kitu kinachoitwa Roaming. Hivyo inakuwa si rahisi kwa mtu wa Tz kuweza kunipigia kwani inakuwa kama unapiga simu za kimataifa japo mimi nikikupigia kutoka hapa ninakuwa napiga sawa na local.

Hiyo ni namba ya Kijana wangu ambaye kila pahala nipo naye ambaye kwa urahisi unaweza kunipata kwa local number.

Elimu yangu ni PhD. (Bcom- UDSM Tz), MBA (Carleton univ- Canada) na PhD (Sofia Univ -Japan).

Jina langu ni Dr Hamza Yousuf Al- Naamani. Je una la ziada?

I salute you sir. Despite our diferences in opinions there comes a time when we need to draw lines. You have shown the way...
 
Back
Top Bottom