Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,982
Ndoa hizi ambazo mmoja ana mtoto huwa zinachanganya sana wanandoa hasa yule mzazi mwenza anapoingilia, mie nashangaa huyu mwanamke aliyeachana huwa anakuwa na maisha yake na mtu mwingine , huku bado anataka amshikie mwenzake balls zake, hapa mwanamme asipokuwa makini ndoa inayumba haswa, mwanaume kuwa na mipango na mipaka na umwonyeshe mzazi mwenzako hutaki akuingilie kwenye maamuzi yako.
Kuhusu shule unaweza ukawa unalipa moja kwa moja kwenye account ya shule kuepusha usumbufu kama mwanamke anakuwa na tamaa. Mie nashangaa mwanamke utahamisha watoto wako shule nzuri sababu ya pesa kweli?
Huu mfumo jike naona sasa unaota mizizi nitaanzisha harakati kali kupambana nao, maana sijaona hapa likiongelewa swala la mama kulipia school fees au mnajifanya hamjui kwamba kuna wanawake wanatuzidi vipato?