Mgomo wa walimu ulitakiwa uungwe mkono na wazazi walalahoi kwani wangetakiwa kuingia barabarani na kuishin ikiza serikali kwan ikiwa serikali haita wajali walimu watoto wao ndio wanaoathilika na mgomo baridi utakaofanywa na walimu kwani watoto wa vigogo wa nasoma shule za bei mbaya kwa ujumla jamii imewasaliti walimu hasa hasa walalahoi tafakari