Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Jana katika harakati za kutafuta mafuta na kidumu nikajikuta nakatisha maeneo ya Mwananyamala.
Kwa kweli nilicho kiona pale siku amini macho yangu kweli ni kizazi kipya au ndo hivyo watu wanapenda kula vitu visivyo komaa.
Watoto wadogo darasa la 5,6,7 wameingia kwenye ulingo wa kufanya mapenzi na mababa na mababu kwa kuhongwa miguu ya kuku, utumbo wa kuku, kichwa cha kuku na shingo. Bei zake ni chini ya Tsh.500/=
Kwa kweli inasikitisha na huu mgao wa umeme maeneo hayo umewarahisishia kazi niliona babu anamtania mjukuu wewe mchokozi kwa nini unanichezea sharubu mjukuu wangu huku babu akiwa amekipakata kibinti nacho kina ruka ruka mi nilijua wanacheza tu kumbe wanacheza kikubwa dah wazazi wa maeneo hayo kuweni makini watoto wenu wanaharibika wanapoteza bikra, magonjwa siku hizi nje nje ukimwi, pangusa n.k
Kwa kweli nilicho kiona pale siku amini macho yangu kweli ni kizazi kipya au ndo hivyo watu wanapenda kula vitu visivyo komaa.
Watoto wadogo darasa la 5,6,7 wameingia kwenye ulingo wa kufanya mapenzi na mababa na mababu kwa kuhongwa miguu ya kuku, utumbo wa kuku, kichwa cha kuku na shingo. Bei zake ni chini ya Tsh.500/=
Kwa kweli inasikitisha na huu mgao wa umeme maeneo hayo umewarahisishia kazi niliona babu anamtania mjukuu wewe mchokozi kwa nini unanichezea sharubu mjukuu wangu huku babu akiwa amekipakata kibinti nacho kina ruka ruka mi nilijua wanacheza tu kumbe wanacheza kikubwa dah wazazi wa maeneo hayo kuweni makini watoto wenu wanaharibika wanapoteza bikra, magonjwa siku hizi nje nje ukimwi, pangusa n.k