Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Hili ni kwa wale wote wenye mapenzi !!!nikiwa katika concert la P SQURE
Kulikuwa na mambo mengi ya ajabu mengine ambayo ni lazima yawepo
katika jamii ila hili kidogo lilinishtua!!!!jamani kulikuwa na watoto wadogo wako form 1 na wengine form 2
wa kike walikuwa wakivuta sigara na kunywa pombe hadharani!!!!!!
katika kuwahoji wlainijibu wako form 2 wenguine 1 na 4..niliumia sana sna jamani
niliikitika na kusema je hawa wazazi wanajua watoto wao boarding wanafanya nini????????na j e ni kosa kuwapeleka watoto boarding kidogo naomba msaada wenu..hakika nilipiga nao picha na kutakakuweka humu kutokana na maawazo ya wenye busara nikaona wacha tukanane humu kwa maandishi..enyi walimu angalieni sana hawa wanaafunzi wanvyowapa wazazi wanajua wako mikononi mwa wenye busara...mwalimu mkuu embu shugulikia hili usiaribu shule yako ya tabat..wasivyo na aibu wanataja kabisa HAPPY SKILLFULL TABATA ..jamani tuwe makini na nyie wasimamizi wa haya matmasha inasikitisha sana watotokama hawa kufanya mapenzi hadharani wadogo kabisa na huku walinzi wakiwalinda.....mungu awabadilishe
mungu ibariki tanzania!!!!
Kulikuwa na mambo mengi ya ajabu mengine ambayo ni lazima yawepo
katika jamii ila hili kidogo lilinishtua!!!!jamani kulikuwa na watoto wadogo wako form 1 na wengine form 2
wa kike walikuwa wakivuta sigara na kunywa pombe hadharani!!!!!!
katika kuwahoji wlainijibu wako form 2 wenguine 1 na 4..niliumia sana sna jamani
niliikitika na kusema je hawa wazazi wanajua watoto wao boarding wanafanya nini????????na j e ni kosa kuwapeleka watoto boarding kidogo naomba msaada wenu..hakika nilipiga nao picha na kutakakuweka humu kutokana na maawazo ya wenye busara nikaona wacha tukanane humu kwa maandishi..enyi walimu angalieni sana hawa wanaafunzi wanvyowapa wazazi wanajua wako mikononi mwa wenye busara...mwalimu mkuu embu shugulikia hili usiaribu shule yako ya tabat..wasivyo na aibu wanataja kabisa HAPPY SKILLFULL TABATA ..jamani tuwe makini na nyie wasimamizi wa haya matmasha inasikitisha sana watotokama hawa kufanya mapenzi hadharani wadogo kabisa na huku walinzi wakiwalinda.....mungu awabadilishe
mungu ibariki tanzania!!!!