MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
kamanda
i saw this on facebook nikasikitika sana
Haya ni matunda ya malezi mabaya... hawa watoto hawana malezi , wanaishi-ishi tu
...............Wajua kamanda hili ni janga la kitaifa.....na haya maisha ya siku hizi ya baba/mama wako buzy na kazi malezi yanaachwa kwa dada wa nyumbani ...........mbona hatari?? sijui ndo kina mama tuache kazi turudie majukumu yetu ya zamani?? How do we balance jamani??