sababu ni mchaga,kwa iyo wachaga ndio awatakiwi kuolewa?pelekeni ujinga wenu uko we na awo wanaokushauri ******
hujampenda itakua mweh!
Utakua hujampenda.... Pamoja na kusema wanandugu ni mhimu kuwahusisha haya maswala, the way you have presented hapa ni kana kwamba wana absolute say ya Mwanamke wa kumuoa. Naamini kama Kweli unampenda kwa dhati, ni lazima zipo tabia ambazo zimekuvutia kwake... tabia ambazo ungeweza zisimamia kwa kuzitaja na kumtetea Mpenzi wako kwa ndugu zako... Kwanza nashangaa nyie ni kabila gani for haya mambo sasa hivi ya kabila sio shida saana kama dini.
AshaDii
umenena vema,
tatizo hapa ni kabila siyo mtu,yaani they are not ready to hear anything kiwe kizuri/kibaya........................
kabila linamhukumu ndugu yangu!!! pamoja saaaNA
Hivi huyo binti anaolewa na wazazi wako au na wewe??
Una maamuzi gani juu ya binti huyo wewe km mwanaume?
Mchunguze tabia yake, je anafaa kuwa mkeo au tabia yake imefanana na hao waliowahi olewa na nduguzo?
Ila ni kweli kabisa hujampenda huyo binti na ulikuwa unampotezea tu muda wake!!! :smash:
Katika mambo ya kuoa ni muhimu kutazama pia kabila, si unavamia tu.
Msisumbuke kunipiga swali hapo mana sita wajibu.
Tatizo la watu wengi ni kuifanya ndoa kuwa bidhaa ya familia au jumuiya fulani.Ndoa ni mke na mume.Basi.
nina msimamo kuliko hata huyo mumeo/mpenzio sema mimi siendeshwi na hisia zaidi kuliko kutumia akili.......nampenda sana mpenzi wangu lakini wazazi wangu ni zaidi yake mara100,mapenzi ya kijinga jinga ya kujifanya unaendekeza moyo wakati ndoa ni step muhimu sana kwenye maisha,mimi sina nafasi hiyo.....hapa nyie nisaidieni tu jinsi ya kuachana nae kwa amani!!
mbona mnapogombana mnaanza kuomba ushauri kwa ndugu, jamaa na marafiki? Kwa nini uwashirikishe kwamba unataka kuoa au kuolewa? Ingekuwa hivyo basi unamaliza mambo yako na unakuja naye na kuwaambia ndugu zako huyu ndo mke wangu nimeoana naye. Matatizo yakitokea mnayamaliza wenyewe huko huko. Kwenye hizi extended family zetu ni ngumu kuwa na maamuzi yako peke yako. Kuna ndugu zako ambao nao wanahitaji unafuu wa aina fulani wakiwa wamechoka wapate hata mtu wa kuwapeleka japo hospitali. Wakishakuwa na experience na kabila fulani ni ngumu kukubali mtoto wao uje kuwa wa aina hiyo. Inaumiza kuona tunajadili mambo ya ukabila lakini kwenye maisha ambayo ni kufa na kufaana inabidi yawe na umuhimu wake. Hii siyo ajira ambayo ukishindana na wafanyakazi wenzio unahama.
nina msimamo kuliko hata huyo mumeo/mpenzio sema mimi siendeshwi na hisia zaidi kuliko kutumia akili.......nampenda sana mpenzi wangu lakini wazazi wangu ni zaidi yake mara100,mapenzi ya kijinga jinga ya kujifanya unaendekeza moyo wakati ndoa ni step muhimu sana kwenye maisha,mimi sina nafasi hiyo.....hapa nyie nisaidieni tu jinsi ya kuachana nae kwa amani!!
Kama wewe unayaona hayo ni ya maana sasa hapa JF AMELETA HIYO MADA YAKE ILI IWEJE?? watu wengine bana hovyo kweli!!Among watu walioongea vitu vya maaana na msingi ni pa1 na wewe mkuu
unajua hapa jamvini si kwamba watu hawafahamu reality ya hii ishu,wanafahamu sana sana ila tu,wanaamua kuleta ushabiki wa kipuuzi na kuendekeza mapenzi ya kizungu wakati sisi ni waafrika na tuna mila na desturi zetu tunazopaswa kuzifuata na kuheshimu,
hata ktk amri 10 za mungu,kuna amri inatutaka kuwaheshimu wazazi
sababu ni mchaga,kwa iyo wachaga ndio awatakiwi kuolewa?pelekeni ujinga wenu uko we na awo wanaokushauri ******