Wazazi/mzazi wa binti

Hapa ndo kusema wote tuna watoto wadogo sana? Hivi hakuna mfano hai hapa mtu aseme mimi nilifanya hayo ya kujua boyfrend wa wanangu, au hivi na nimefanikiwa!
 
god bless my headmistress, sijui aliwaza nini kutuletea insipirational speakers tukiwa o-level. mama mmoja alitupa hii 'sex is very good,bt u will enjoy it at the right time, in the right place with the right person. let it wait, yaani mtafanya hadi mtakimbia manake furaha yake itazidi!!', tulikua tunacheka sana,she was open and we had a good insight of marriage back then,imagine! i totally agree with u!

ni vizuri pia kuwaambia sex sio kitu kibaya....
ubaya ni to do it at the wrong time with the wrong people
 
kim, tunaweza hata kujitolea mifano yetu sie wenyewe. FF nae sijui yuko wapi saa hizi,manake na hao vijana wake ma-handsome kama alijua kila GF itakua shughuli,hahaha
Hapa ndo kusema wote tuna watoto wadogo sana? Hivi hakuna mfano hai hapa mtu aseme mimi nilifanya hayo ya kujua boyfrend wa wanangu, au hivi na nimefanikiwa!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kuna kitu hamjui hapa; wazazi wenyewe mlikuwa kiruka njia, labda hata huyo mtoto wako ulimzaa kabla ya kuolewa au na mume mwingine baadae baba mkaachana ukaoelwa na mtu mwingine. Sasa wewe mzazi unayetaka leo mtoto wako awe SAINT inatoka wapi? Siku hizi wazazi wanashindana kusoma, huyo akienda masters UD mwingine anaenda Tumaini. Mkitoka asubuhi mnarudi saa nne usiku na kulala fofo. Leo hii mama una vidumu nje zaidi ya 2 na baba ndo usiseme anao mpaka wengine anasahau majina.

Hakuna uwepo wa Mungu kwenye nyumba yenu wala kwa majirani wanaowazunguka. Kanisani hampajui wala mafundisho ya dini mnayasikia kwa majirani.

Hakuna shortcut, maji hufata mkondo. Angalia wapi mlicheza fyongo, laani madudu yote yaliyofanywa na wazazi wenu, koo zenu then urudi ubariiki kizazi chako.

Kwa style zenu za ki sharobaro eti unamuita mtoto umwambie acha hiki na kile wakati wewe na utu uzima wako hujawahi kuacha, wala kuona athari zitakazowapata watoto wako baadae.

Nawakilisha.

....pole sana caroline danzi, naamini kuna kitu kime trigger reaction yako ndio maana umeijibu kwa hisia kali.
pole sana, na ahsante kwa maoni yako ya upande wapili wa shilingi.
 
Hapa ndo kusema wote tuna watoto wadogo sana? Hivi hakuna mfano hai hapa mtu aseme mimi nilifanya hayo ya kujua boyfrend wa wanangu, au hivi na nimefanikiwa!
Hommie watoto wadogo sana ndo umri gani?
 
god bless my headmistress, sijui aliwaza nini kutuletea insipirational speakers tukiwa o-level. mama mmoja alitupa hii 'sex is very good,bt u will enjoy it at the right time, in the right place with the right person. let it wait, yaani mtafanya hadi mtakimbia manake furaha yake itazidi!!', tulikua tunacheka sana,she was open and we had a good insight of marriage back then,imagine! i totally agree with u!

ni ujinga mno kuwaambia wototo sex sio nzuri huku
wanatazama tamthilia na watu wazima around them,bora uwaambie tu
ni good at the right time....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
kim, tunaweza hata kujitolea mifano yetu sie wenyewe. FF nae sijui yuko wapi saa hizi,manake na hao vijana wake ma-handsome kama alijua kila GF itakua shughuli,hahaha
Hahaha haya niambie wewe ulipeka boyfrendi kwa mama ukiwa na miaka mingapi?
 
swali hapa ni kwa nini binti alindwe na sio boys??????/

wazazi wakiambiwa mvulana wako kampa mimba binti wa fulani,hiyo sio kesi kabisa

kesi ni binti kupewa mimba...its funny
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
karibu mosquito. ulishakutana na kischana kilicholelewa kama broiler? hakijui hata jinsi ya kujibu mafataki! ukimfundisha mtoto kuhusu dini (kwanza ampendeze Mungu b4 wanadamu, na the fact kuwa Mungu anamuona kila wakati na wazazi hatumuoni ). pili ajue kujisimamia na kujiuliza maswali b4 kufanya maamuzi. ajue kuwa hatutakuwepo wakati wote atakapokutana na challenges mbalimbali, (i will tell my kids i still miss my late mom,manake bado namhitaji anielekeze some stuff abt how to raise u).bt keeping an open door. if need be discuss and welcome discussion on boys,how to deal with them,how to avoid sex, how to avoid RAPE!!!!, kuna issue ya drugs and alcohol... all those na kutaniana kama MJ1 alivyosema. unamjengea mtoto wa kiume au wa kike a fantasy future and let them fall in love with it. japokua wakati mwingine unaweza kuzimia,nikikumbuka maswali na issues nilizokua nashare na mama namuonea huruma, bt she was strong na kuweza kutoa guidance kwa kweli. inataka moyo,bt swallow it manake sio kama ukifukia kichwa mchangani kama mbuni adui atakimbia.

.
...dahhh, king'asti umenipa ukumbusho na funzo zuri sana kwakweli,....
shukran sana...hili suala la kumfanya mtoto ajiamini ni muhimu sana.
kujiamini yeye mwenyewe na kuamini kuongea na wewe mzazi bila 'kuhukumiwa' vibaya.

ahsante sana.
 
Hahaha haya niambie wewe ulipeka boyfrendi kwa mama ukiwa na miaka mingapi?
Maswali nusunusu hayafai:

Na ulimwambiaje mama?
Baba alikuwepo?
Mama alikuuliza nini?
Sura ya baba ilikuwaje?
Baba alimwangaliaje boyfriend?
Ulikuwa umeshamegwa?
Huyo boyfriend alikuwa wangapi kwako?
Hao wengine walikuacha au uliwaacha?
Ulikuwa na kimimba?
Ukikutana nao sasa hivi kuna kujikumbusha?
Etc etc etc
 
Hapa ndo kusema wote tuna watoto wadogo sana? Hivi hakuna mfano hai hapa mtu aseme mimi nilifanya hayo ya kujua boyfrend wa wanangu, au hivi na nimefanikiwa!

Kimey Bana hebu twambie wako ana umri gani ?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Kuna kitu hamjui hapa; wazazi wenyewe mlikuwa kiruka njia, labda hata huyo mtoto wako ulimzaa kabla ya kuolewa au na mume mwingine baadae baba mkaachana ukaoelwa na mtu mwingine. Sasa wewe mzazi unayetaka leo mtoto wako awe SAINT inatoka wapi? Siku hizi wazazi wanashindana kusoma, huyo akienda masters UD mwingine anaenda Tumaini. Mkitoka asubuhi mnarudi saa nne usiku na kulala fofo. Leo hii mama una vidumu nje zaidi ya 2 na baba ndo usiseme anao mpaka wengine anasahau majina.

Hakuna uwepo wa Mungu kwenye nyumba yenu wala kwa majirani wanaowazunguka. Kanisani hampajui wala mafundisho ya dini mnayasikia kwa majirani.

Hakuna shortcut, maji hufata mkondo. Angalia wapi mlicheza fyongo, laani madudu yote yaliyofanywa na wazazi wenu, koo zenu then urudi ubariiki kizazi chako.

Kwa style zenu za ki sharobaro eti unamuita mtoto umwambie acha hiki na kile wakati wewe na utu uzima wako hujawahi kuacha, wala kuona athari zitakazowapata watoto wako baadae.

Nawakilisha.[/QUOTE

Dah, hili nalo neno
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
CD, kama kuna kitu mtoto anaweza kujifunza kwa mzazi wake ni kutorudia makosa ya wazazi. Na hiyo watoto wangu,inshaallah, watajua from the horse's mouth. i will insist that they dont have to repeat my mistakes, tena kwa kuwapa mifano hai kuwa mimi nilichagua njia hii na nikaishia hapa. lakini CD, she was my friend na akachagua njia ile na unamuona alipo sasa! one thing i am really striving on ni kujifunza kutokana na mambo ambayo for one reason or another sikuvutiwa nayo kwa wazazi wangu and my role models t large! ndo maana ni vema kuwa wazi na mtot,wakati muafaka share hata skeletons from ur closet. as long as vitamponya mwanao na maumivu ya mbeleni,who cares! hakuna swali mwanangu ataniuliza nishindwe kumjibu,na ku-admitt kosa na ku-enlarge gharama ambayo niliibeba kwa kukosea!

...yaaani king'asti unagongea msumari haswaaaa....natamani niombee kitufe cha thanks kwa ajili ya bandiko lako hili la pili.
hapo penye wekundu hapo,...aaaaahhh,...da caro hajafahamu tu haya mambo mzunguko wake.


Hapa ndo kusema wote tuna watoto wadogo sana? Hivi hakuna mfano hai hapa mtu aseme mimi nilifanya hayo ya kujua boyfrend wa wanangu, au hivi na nimefanikiwa!

...kwani ni siri basi? mimi na kijana wa 20yrs, na mwingine 17yrs....huyu wa 20yrs yeye ni msiri sana, hata niongee nae lugha zote haniambii girlfriend wake, ...nililoishia kumtahadharisha ni kwamba asijepata ajali huko akawa kama daddy wake, akapata mtoto ilhali hata maisha hajajijenga....

huyo wa 17yrs yeye ni muwazi ila anabadilisha mara kwa mara...ninalomsisitizia, awe makini na hizo heartbreaks anazowaachia mabinti wa watu...na kwa mazingira wanayoishi (ughaibuni) hilo jambo ni kama fashion bana, yaani hata ukisema mungu hapendi anabakia ananishangaa huko ujanani siku ya experience haya?

kimbembe kinakuja kwenye mtoto wa kike, ...."imagine" leo unamuona ana boyfriend huyu, baada ya miezi michache mwingine,...aiseee!
 
Maswali nusunusu hayafai:<br />
<br />
Na ulimwambiaje mama?<br />
Baba alikuwepo?<br />
Mama alikuuliza nini?<br />
Sura ya baba ilikuwaje?<br />
Baba alimwangaliaje boyfriend?<br />
Ulikuwa umeshamegwa?<br />
Huyo boyfriend alikuwa wangapi kwako?<br />
Hao wengine walikuacha au uliwaacha?<br />
Ulikuwa na kimimba?<br />
Ukikutana nao sasa hivi kuna kujikumbusha?<br />
Etc etc etc
Hommie ndo maana nikaomba mifano ya kweli ili watu waelewe tusiongelee tamthilia hapa! Hommie hivi Matesha alivyo mzuri vile leo akuage anaenda kwa boyfrendi utamuelewa?
 
Hommie ndo maana nikaomba mifano ya kweli ili watu waelewe tusiongelee tamthilia hapa! Hommie hivi Matesha alivyo mzuri vile leo akuage anaenda kwa boyfrendi utamuelewa?
Na hako kaumri kake ka miaka 10? OMG!!! Mungu apitishe mbali, aniepushe nisijeleta misiba isiyotarajiwa!
 
Thanks Mbu for the post..

Ndugu zangu, naamini chanzo cha tabia na mienendo watoto wetu hasa hawa mabinti ni sisi wazazi. Malezi ya tabia njema hayasubiri binti atimize miaka fulani kama 5, 10 au 18 ndiyo tukae naye chini.. that's too late. Kama umefanya hivyo hesabu maumivu...Kuna kitu inabidi mzazi ukishike kwa mtoto toka siku ya kwanza. Ni "bond" au moyo wa mtoto kwako..ukiweza kushika hapa..basi mtoto atakuwa vile wewe unataka... Lakini si kazi rahisi hata kidogo..kutokana na changamoto za maisha, ndoa, mapenzi, ubinafsi etc..

Mtoto huwa anazaliwa na asimilia 100% ya mapenzi na "bond" kwa walezi wake ambao mara nyingi ni wazazi. Ni sisi wazazi tunapunguza hiyo % kwa matendo na maisha yetu. Ili ku-maintain hiyo "bond" inabidi tujitoe muhanga katika maisha yetu na ubinafsi wetu. Inabidi tulee hii "bond" kwani haiji kirahisi kama mvua., hapo ndipo tunaweza kuonyesha mapenzi ya kweli kwa mabinti zetu toka wako wachanga hadi wanakuwa watu wazima. Hapo ndipo tutakuwa influential figure kwa maisha yao.. Hapo ndipo tuta-seal kiana watoto kusikiliza wapita njia na marafiki. Ni kazi ya miaka na ni maisha na siyo lele mama.

Maisha yetu ni elimu tosha kwa binti. Najua binti yangu ataniheshimu na kunisikiliza kutokana na maisha yangu na jinsi ninavyoonyesha kumjali toka yuko mchanga. Mapenzi na malezi siyo nidhamu ya woga. Siyo bakora hadi watoto wanakuita "Hitler".. Ni jinsi gani unaweza cheza na "feelings" za watoto hadi ukaweza ku-influence maisha yao. Ni vile wazazi tutakavyoweza ingia ndani ya mioyo ya watoto na kujenga fikra za mtoto za kuwa wao wana moyo nusu na nusu nyingine ya moyo wameshika wazazi. Ni vitendo vitajenga hii kitu na siyo maneno, darasa au ngoma ya unyago ya wiki moja. Ni mwenendo mzima wa maisha, nidhamu, upendo, mapenzi ya familia nzima. Familia inabidi iwe kitu kimoja mbele ya watoto hata kama kuna vitofauti kidogo chumbani&#8230;

In short, source ya mafanikio ya maisha ya mabinti zetu ni sisi wazazi. Maisha yetu na changamoto zetu, zi-depict vile tunataka maisha ya binti zetu yawe hivyo. Kwani matendo yanasema zaidi ya maneno. Ukipoteza hii opportunity ya kuwa influential figure ya mtoto ukategemea akikuwa mjomba au shangazi aje amfundishe au umpeleke kijijini akachezwe unyago basi ujue kama ni mtihani umeondoka na zero ya masikio.
 
swali hapa ni kwa nini binti alindwe na sio boys??????/

wazazi wakiambiwa mvulana wako kampa mimba binti wa fulani,hiyo sio kesi kabisa

kesi ni binti kupewa mimba...its funny

...funny it is, lakini siku yakikukumbuka it wont be a laughing matter, ...wakati huo thread ya mbu nayo itakuwa isharuka.

hebu mtani nambie wewe kwa uelewa wako, kwanini mtoto wa kike siku ya harusi yake wazazi wake hujiskia faraja sana kwa heshima aliyowaletea?

au hujapata sikia hili?
 
mie kuwa liberal nilifundishwa na mama toka kiddo (dingi alikua anajidai yuko busy,alifaa kuleta viatu na makompasi,lol!). tena mtu akini-approach naenda kumpa stori mama. ilinisaidia kwa kweli,na niliamua hii process ya dating i will surely take my time manake inahitaji nafasi na pumzi pia. there was a rule of thumb, 'best meeting place with them boys and gals is home' trust me, i can imagine how hard that was for my parents, lakini mafataki walikua wanakimbia! coz niliaminishwa kua hakuna atakaekubaka sebuleni kwenu,na kama kijana anakupenda hatawaogopa wazazi! haya,tuhamie kwako sasa,ulianzia kujaribisha lini?lol
Hahaha haya niambie wewe ulipeka boyfrendi kwa mama ukiwa na miaka mingapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom