MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Nimeikuta hii kwenye blog ya Dina wa Clouds FM.
Kama hali hii ni kweli si tutajikuta miaka ijayo tunalo Taifa la mashoga?! Jamani tuwe makini
WAZAZI JAMANI ANGALIENI WATOTO, ONGEENI NA WATOTO HALI NI MBAYA...
SIKILIZA HII JAMANI.
Leo jumatatu kwenye kurasa za leo ndani ya leo tena nimesikitika sana baada ya Antonio kusoma habari ambayo ipo kwenye ukurasa wa 4 wa gazeti la Mtanzania ambapo, wanafunzi wa shule ya msingi Ukonga iliyopo manispaa ya ilala kujihusisha na vitendo vya kujamiina hasa watoto wakiume.
Taarifa hiyo imetolewa na kamati ya utekelezaji ya shule iliyosomwa kwa wazazi katika mkutano uliofanyika shuleni hapo juzi.vTaarifa hiyo ilisema lipo kundi kubwa la watoto wanaojihusisha kwenye mchezo wanaouita "tigo" ambako mvulana hufanya ngono na mvulana mwenzake katika eneo linaliitwa ''chimbo''. Wavulana hao pia huwachukua wasichana wadogo na kufanya nao ngono kinyume cha maumbile hali inayotishia usalama wa wanafunzi hao ilisema taarifa hiyo....
Jamani hali inatisha sasa.
Source: Dina Marios Blog
Kama hali hii ni kweli si tutajikuta miaka ijayo tunalo Taifa la mashoga?! Jamani tuwe makini
WAZAZI JAMANI ANGALIENI WATOTO, ONGEENI NA WATOTO HALI NI MBAYA...
SIKILIZA HII JAMANI.
Leo jumatatu kwenye kurasa za leo ndani ya leo tena nimesikitika sana baada ya Antonio kusoma habari ambayo ipo kwenye ukurasa wa 4 wa gazeti la Mtanzania ambapo, wanafunzi wa shule ya msingi Ukonga iliyopo manispaa ya ilala kujihusisha na vitendo vya kujamiina hasa watoto wakiume.
Taarifa hiyo imetolewa na kamati ya utekelezaji ya shule iliyosomwa kwa wazazi katika mkutano uliofanyika shuleni hapo juzi.vTaarifa hiyo ilisema lipo kundi kubwa la watoto wanaojihusisha kwenye mchezo wanaouita "tigo" ambako mvulana hufanya ngono na mvulana mwenzake katika eneo linaliitwa ''chimbo''. Wavulana hao pia huwachukua wasichana wadogo na kufanya nao ngono kinyume cha maumbile hali inayotishia usalama wa wanafunzi hao ilisema taarifa hiyo....
Jamani hali inatisha sasa.
Source: Dina Marios Blog