Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Jun 9, 2012 #1 Juzi mitaa ya Temeke walimsema ndugu yao mwenye tabia za ukibaka mpaka akafa. Hivi navyowaambia leo ndio wanazika.
Juzi mitaa ya Temeke walimsema ndugu yao mwenye tabia za ukibaka mpaka akafa. Hivi navyowaambia leo ndio wanazika.
dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Jun 9, 2012 #2 Acha kamba mkuu, haa haa haaaaaaa....
Emc2 JF-Expert Member Sep 26, 2011 16,808 16,836 Jun 9, 2012 #3 Hawa wanamdomo kama nn useme ukaanza kubishana na wazalamo utakoma wanamaneno hao!
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Jun 10, 2012 Thread starter #6 Hawa ukigombana nao hua wanakuja ukoo mzima kuingilia kujibizana na wewe. Yaani mdada mmoja ana uwezo wa kujibishana na familiar yenu nzima na akawashinda!!
Hawa ukigombana nao hua wanakuja ukoo mzima kuingilia kujibizana na wewe. Yaani mdada mmoja ana uwezo wa kujibishana na familiar yenu nzima na akawashinda!!