Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
majuzi kati wazaramo waliokuwa kwenye maandamano yasiyohitaji Kibali yaani mchakamchaka wa Ngoma waliokuwa wamekusanya waZalendo toka maeneo ya Msanga, Manelomango, Malumbo, Masaki B, Panga la Mwingereza na kwengineko walimkamata mwizi.
Na kilichotokea baada ya hapo hawakumpiga wala kumpa adhabu yoyote bali walimsema, walimchamba mpaka mwizi wa watu akapatwa na umauti kisha wazaramo wakaendelea na pilika ya ngoma na kuiacha maiti palepale
Na kilichotokea baada ya hapo hawakumpiga wala kumpa adhabu yoyote bali walimsema, walimchamba mpaka mwizi wa watu akapatwa na umauti kisha wazaramo wakaendelea na pilika ya ngoma na kuiacha maiti palepale