kibai
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 202
- 52
Mimi hata wakanipa kazi huko siendi, Wala it doesn't matter at all, hawa Jamaa hata Ukioa watafanya fitna! Huu muungano sasa jamani hebu na uishe, kwani kuna Faida gani, kila mzanzibari kiongozi, na Kama wange kuwa waungwana hata Hilo baraza wange save hela, maana wana wabunge, they could have done the same!
RIP muungano
RIP muungano